Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Ni kituko 1947 Meli moja ilizama na jamaa kutahamaki yupo lisiwani peke yake na upanga tu. alichoamua ni kukata miti ili atengeneze chetezo/ngalawa aendelee na safari ili arudi bara. Hamadi alipotokeza mwanamke haijulikani kune nae alikuwa na boya alilojiokoa nalo.
Jamaa mawazo yakabadilika bora atengeneze, kitanda waishi pamoja kisiwani mawazo ya kurudi kwao yameisha kabisa
Jamaa mawazo yakabadilika bora atengeneze, kitanda waishi pamoja kisiwani mawazo ya kurudi kwao yameisha kabisa