Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
........Kama swali linavyojieleza hapo juu, hivi mwanaume aliyekuwa kwenye uhusiano haswa kwa wale wanandoa anahitaji nini toka kwa mke wake?
Najua kuna vitu kama upendo, heshima na usafi hivyo ni muhimu sana. Lakini bado kuna vingine pia muhimu, nadhani nimesahau.......hebu wanajf mnikumbushe!!
Huyu mwanaume anapenda kufanyiwa nini na mke wake?
Wanajf hebu mnijuze maana kabla ya kuwekwa kitchen party na wamama niwe nimeshapata baadhi kutoka hapa.
Hebu leteni michango yenu mliokuwa wazoefu na hii kitu kinaitwa ndoa. Hata wale watarajiwa kama mie na nyie leteni michango yenu.
NB.Nawatakia heri katika sikukuu ya uhuru wa nchi yetu hapo kesho.
Najua kuna vitu kama upendo, heshima na usafi hivyo ni muhimu sana. Lakini bado kuna vingine pia muhimu, nadhani nimesahau.......hebu wanajf mnikumbushe!!
Huyu mwanaume anapenda kufanyiwa nini na mke wake?
Wanajf hebu mnijuze maana kabla ya kuwekwa kitchen party na wamama niwe nimeshapata baadhi kutoka hapa.
Hebu leteni michango yenu mliokuwa wazoefu na hii kitu kinaitwa ndoa. Hata wale watarajiwa kama mie na nyie leteni michango yenu.
NB.Nawatakia heri katika sikukuu ya uhuru wa nchi yetu hapo kesho.