Dijina40
JF-Expert Member
- May 17, 2010
- 727
- 242
Huu ni uongo wa hali ya juu. Katika kila kundi la watu wapo walioshindikana wenye hisia zilizopitiliza na mapoyoyo wasiofikiri wala kujiheshimu. Lakini kusema kwamba huo ndio utaratibu wa kina dada na kina mama tulioolewa, sio kweli. Ni uongo mtupu, ama kama ni hadisi tu sasa mnaleta kipitisha siku ziende mwaka uishe. Msitupake tabia mbovu kwa sababu ya mapoyoyo mliyokutana nayo. Hata embe, parachichi n.k katika kapu moja utakuta moja limeoza ama lina madoa madoa haliko sawa haimaanishi ni kapu lote ati Alaaa!!!