Mwanamke wa kwanza mtanzania mwenye kumiliki Hoteli 5 za Kitalii

zara ingekuwa ya mwanaume sidhani kama kuna mtu angemtaja huyu zainab kama kichocheo cha mafanikio, na mumewe angekuwa muha wala asingesikika humu ila kwa kuwa mumewe ni mzungu basi tunaambiwa kama si mzungu asingefika hapa. wangapi wana waume wa kizungu au wa kiswahili wenye hela ila wanaishia kwenye mafanikio makubwa ya kumiliki viatu na pochi? zainab kakatisha watalii tiketi atc miaka miwili. hakufikiria kujigonga kwa mtalii mmoja amuoe wakaishi "ulaya" ale bata bali aliona fursa kwenye wingi wa watalii akaamua kuacha kukata tiketi na kuwekeza. kuweza kuchagua mwenza aliyeweza kufanikisha malengo na ndoto zake ni kielelezo cha ubora pia. wangapi tunakuwa na ndoto nzuri na tunapiga hatua kimaisha halafu tukioa au kuolewa ndo inakuwa mwisho wa ndoto zetu? hayo ya hotel kunyanyasa wafanyakazi hayaondoi ukweli kuhusu mafanikio yake kama mfanyabiashara na ndiyo lengo la mada. kama biashara zake zimefanikiwa kwa sababu anafahamiana na wakubwa basi tuambianae hapa ni mfanyabiashara gani mkubwa ambaye hapiti njia hizo hizo. kama ndo utamaduni wa nchi husika yeye avumbue gurudumu? mnyonge anyongwe, haki yake apewe.
 
hawa ndio wanawake wanaotakiwa sio kama kina sepetunga wanaruka ruka tuuu watu wanawatumia bila mipango yeyote ya maana...

huyu mama ni hardworker sana lakini pia aliolewa na mzungu mwenye pesa na akamweka sawa mzungu wakawekeza hapa hapa nyumbani sasa hivi familia kibao za watanzania zinasurvive kwa ajili ya huyu mama. nililala ile hotel yake ya moshi ndio first time nikamwona yupo kama msomali hivi, KUDOS to her....
 
Zenunaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Kudos.
Hahahahaha Mama wa Kipare huyo, haya sasa wale waliokuwa wanasema wanawake wa kipare sijui nini huko, hebu waje wajionee hapa!! Asante Mama. Wapare ni bidhaa adimu bhana!
 
Huyu mama ameolewa na mswidish kitu ninachomsifu ameweza kumbana huyo mzungu mpaka wakainvest Tanzania kiukweli amefanya kitu kizuri.Changamoto kwa wamama wengine mnaopata wazungu wenyeuwezo mkumbuke kuinvest nchini mwenu.


I see!
Hata hivyo Hoteli Tano ni hatua kubwa!
Ila mara nyingi hizi issue za NGO behind Business Serikali inafaa iwe Makini sana-Kuna ukwepaji wa Kodi kwa migongo ya NGO.
Sijui vizuri Kanuni ya Umiliki na Uendeshaji wa NGO lakini ni Vizuri Kampuni kutokuwa na ushirika na NGO ambayo kuto kote Mkurugenizi wa Kampuni ndiyo huyo huyo Mtendaji au Sehemu ya Menejimenti ya NGO!

Je Wanawalipa Wafanyakazi vizuri-maana mafanikio hupimwa kwa kunufaisha na waliokupa sapoti?
 
Hongera mama. Inawezekana... With self-determination , commitment and discipline, not even the sky can be the limit.
 
Mwanamke wa nguvu big up sana, unatupa moyo I believe in determination,also with God everything z passible.
 
hawa ndio wanawake wanaotakiwa sio kama kina sepetunga wanaruka ruka tuuu watu wanawatumia bila mipango yeyote ya maana...

huyu mama ni hardworker sana lakini pia aliolewa na mzungu mwenye pesa na akamweka sawa mzungu wakawekeza hapa hapa nyumbani sasa hivi familia kibao za watanzania zinasurvive kwa ajili ya huyu mama. nililala ile hotel yake ya moshi ndio first time nikamwona yupo kama msomali hivi, KUDOS to her....

Ukiyaona Maisha ya akina sepetunga kwenye instragram, fb na twitter yaani utakimbia. Utashangaa makala ya huyu mama hata haisomwi na wanawake hasa wa vyuoni wao wanasoma sana za akina sepetunga
 
Well done mama Zara for your wonderful and amazing work especially the supporting heart you have shown into the society and in helping provide the education for maasai kids in Arusha-Tanzania
eec7c0c74ea870d168b2737d5eeb931c.jpg
 
Alikuwa Mwajiliwa ATC Sasa Anamiliki Hoteli 5 Za Kitalii
zainab-entrepreneur.jpg
05_11_p0g1gs.jpg



WANAWAKE kwa muda mrefu wamekuwa wakiaswa kujituma na kujiamini ili waweze kufanikiwa katika kutimiza ndoto zao.
Kujiamini huko kunaweza kuwa na manufaa mengi katika kuinua maisha ya wanajamii hasa kama mhusika atakuwa akijiamini na kuanzisha mradi wake wa kujiajiri na kujikuta akiajiri watu wengine wengi. Zainab Ansell, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Utalii ya Zara ni miongoni mwa wanawake waliojitoa mhanga, kwa kuacha ajira na kuamua kujiajiri.





zaratours | zaracharity | highviewhotel | habarileo
Kama alikuwa ni mmoja wa waajiliwa wa ATC nahisi uwalakini....!
 
Back
Top Bottom