kwa raha zao...
ilimradi hauko karibu yao na hupati (second hand smoke)
shida iko wapi??
and is none of anyone's businesses .......
Ni machangudoa nani usiku so why do you care??
MwehhhhhEti nina attitude ..We umesoma poster zako Vizuri kweli....Wewe ka-Afrodenzi....unavuta sigara wewe? Ukijibu ndiyo utakiona cha mtema kuni. Wewe na kale ka-shostito kako ka-Lizzy....mna attitude sana nyinyi. Ntawatandika na mjeledi wangu mimi. Nyi leteni tu hizo zenu sijui za Unga Ltd.
kwa raha zao...
ilimradi hauko karibu yao na hupati (second hand smoke)
shida iko wapi??
and is none of anyone's businesses .......
Ni machangudoa nani usiku so why do you care??
Binafsi inanishangaza ninapoona machangudoa wanavuta sigara hadharani japo inakuwa ni usiku. Lakini kwa mwanamke mwenye heshima zake mnamchukuliaje?
Hivi ni second hand smoke au 'passive smoker'?!!
MwehhhhhEti nina attitude ..We umesoma poster zako Vizuri kweli....
Binafsi inanishangaza ninapoona machangudoa wanavuta sigara hadharani japo inakuwa ni usiku. Lakini kwa mwanamke mwenye heshima zake mnamchukuliaje?
Umeelewa nlichoandika..Unauliza jibu...Hivi ni second hand smoke au 'passive smoker'?!!
Binafsi inanishangaza ninapoona machangudoa wanavuta sigara hadharani japo inakuwa ni usiku. Lakini kwa mwanamke mwenye heshima zake mnamchukuliaje?
lol! let it go gal, huyu ni nyani bin ngabu, haoni nanilii lake hata umuwekee kiio...
Naona na wewe unataka kuchapwa.....ntakutuma ukalete fimbo yako mwenyewe nikuchapie nayo. Shauri yako....wewe viunge mkono tu hivyo vi kina Afrodenzi na kenzake ka-Lizzy.
Umeelewa nlichoandika..Unauliza jibu...