stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,921
Mkuu mimi huko urangini nimeshakaa kama miaka 3 hivi,nilichogundua kuhusu wanawake hao ni kuwa watulivu sana kwa muonekano anapokuwa na mtu,tatizo anapogundua kuwa kuna mtu anamtaka kimapenzi huwa ni wagumu sana kusema neno haiwezekani,flirting mitaa ile muheshimiwa ni nje-nje,ninacho wasifu ni wa siri sana,anapokuwa na afair ya nje ya mahusiano hamwambii hata rafikiye wa karibu,kwahiyo leakage huwa ni almost impossible labda siku iwe imefika litokee fumanizi.