Mwanamke wa Kimasai wa Loliondo atoa ushuhuda

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Mwanamke wa Kimasai Kooya Timan, kutoka Loliondo, ameingia na kutoa ushuhuda Banjul katika mkut ano wa Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika (African Commission on Human and Peoples’ Rights) Banjul, Gambia. Ameelezea yaliyotokea akisema hata wanawake walibakwa.

 
Picha za jana za Mwana mama wa Kimasai toka Loliondo na mwenzake mzee Orkoskos Yaile
 

Attachments

  • KOOYA.JPG
    KOOYA.JPG
    380.9 KB · Views: 170
Katika mkutano huo pia kulikuwa na pretentation kuhusu Loliondo, mfano Marrianne Wiben Jensen wa International Work Group for Indigenous Affair (IWGIA) alisema:


Madam Chair,

The situation of nomadic pastoralists continues to be extremely difficult and a matter of great concern in many parts of Africa, including in Tanzania where many pastoralists have been evicted from their lands.

IWGIA is seriously concerned about the forceful evictions of Maasai pastoralists from their homes and grazing lands in Loliondo in Northern Tanzania and the gross human rights violations that have been committed.

The eviction operation started on the 4th July 2009 and was conducted by the Field Force Unit police with assistance of private guards from the Ortello Business Cooperation (OBC). The evictions have been carried out by use of excessive force and many Maasai homes have been set on fire.

The Ortello Business Cooperation is owned by a member of the Royal family from the United Arab Emirates and has been allocated hunting rights on village lands belonging to the local communities. The allocation of hunting rights to the OBC has not given the company ownership rights to the village land, but the villagers are evicted nonetheless.

Eight villages in Loliondo have had their houses and property destroyed in the eviction process, and the following gross human rights violations have been committed:

· More than 200 Maasai homesteads have been totally burnt.
· Food stores and maize fields have been burned.
· It is estimated that up to 3,000 people have been made homeless without food and shelter.
· Several maize farms, which were ready for harvest, were set on fire exacerbating an already alarming hunger situation.
· More than 50,000 cattle have been pushed into areas hit by extreme drought with no water and grass. Some cattle have been lost and some burned to death.
· Property worth millions of Tanzania Shillings has been destroyed.
· The Field Force Unit police has committed serious physical assaults on pastoralists.
· Women have been raped and sexually assaulted by policemen.
· Other women who were chased from their homes have had miscarriages.
· Family units have been broken and some children have been lost in the bush due to the chaos and panic during the evictions.
· Communal and traditional worship places have been destroyed and
· Several pastoralists have been arrested on dubious charges

No actions have been taken by the responsible government authorities to assist the victims of the evictions who find themselves in a desperate situation amidst the ravaging drought with no food, water, shelter and grazing land for their livestock.

It is important to note that the evictions contravene Tanzania legislation as well as its international commitments. The provisions of the Constitution of the United Republic of Tanzania guarantee and promote respect for human and peoples' rights and freedoms, including rights to own and use land and other natural resources;

Moreover, the Village Land Act No 5 of 1999 is applicable to the pastoralist villages. It provides for a clear framework of village land management and gives powers to the villagers on matters concerning ownership and land use plans.

We will also like to recall that the Government of Tanzania, in September 2007, voted in favor of the UN Declaration on the Rights of Indigenous Peoples, that sets the framework and principles for the manner in which states should treat indigenous people, and that Tanzania is a signatory to several other international treaties and convections that protect basic human rights. The evictions are a violation of such international law and conventions.

We would furthermore like to recall that the Government of Tanzania, through the Ministry of Wildlife and Tourism, should be committed to ensure an effective participation of local communities and indigenous people in the management of natural resources and benefit sharing through community managed tourism - and that the evictions contravene the spirit of this.

Madam Chair,

IWGIA appreciates the interest that the African Commission has already taken on this serious issue. However, the government of Tanzania seems unfortunately not to have taken any action to address the situation.

We therefore call on the international community and the African Commission on Human and Peoples' Rights to urge the government of Tanzania to address the situation as a matter of urgency. The government of Tanzania should prevent any further evictions, investigate the human rights violations that have taken place, compensate the victims, ensure that the organizations and villagers who seek to support the victims of the evictions are not being harrassed and withdraw its stand on evicting pastoral communities for the benefit of foreign investors.

We furthermore request the international community and the African Commission to undertake a mission to investigate the evictions.



Thank you Madam Chair.

na ingine ilisomwa na Edward Porokwa wa PINGOS Forums na yeye alisema:
Statement of the Minority Right Group International on the eviction, relocation and marginalization of pastoralists in Loliondo and other different parts of the country.

Madam Chairperson; First, MRG, IWGIA, CORDS PINGOs Forum, and NGONET would like to congratulate you and other commissioners for being elected for such very important offices that oversees adherence of human rights in our continent . Thank you for giving me time to present to you the situation of pastoralists in Tanzania.
Madam Chairperson; Tanzania is publically known and admired worldwide for peaceful and ranquility, political stability and fair treatment of its citizenry. However, although pastoralism in Tanzania is a way of life for pastoralists whose entire lives and culture evolve around this livelihood system, the rights of pastoralists, comprising 10% of the national population, have been grossly violated. Pastoralism and supportive grazing resources has proven to be resilient and sustainable in the sustainable utilization of existing natural resources.
Madam Chairperson, As from July, 2009, acts of unconceivable treatment were perpetrated on the Maasai Indigenous Pastoralists in Ngorongoro through an eviction operation in Loliondo. Loliondo is one of the three Divisions of the Ngorongoro District situated in the Arusha Region in Northern Tanzania.
Madam chairperson, The eviction conducted by the Tanzania police {field force unit} from 4th of July 2009 todate with orders from the government was intended to remove pastoralists from the hunting block which was allocated to an UAE company known as Otterllo Business Cooperation in 1992. The pastoralists, who had lived in the area since time immemorial, were said to have allegedly invaded the private hunting block as well as degraded the environment in the respective area. The evictions were thus aimed at returning them to their supposed villages and save the environment in one of the vital forests of the Game Control area.
The malicious and ruthless operation to evict the Maasai communities has affected eight Villages of the Loliondo division, leaving more than 6,000 in unimaginable distress and utter poverty. Inhuman acts unlawful imprisonment, torture and prosecution of innocent pastoralists. People lost their lives and dignity, children were lost and property was destroyed. It was alleged that more than two hundred Maasai homes were totally burnt; women were harassed; more than 3000 people were left homeless without food and other basic social needs and more than 50,000 cattle were left with no grass and water. Some of the pastoralists stated that they were chained beaten and humiliated in front of their families and even women being ordered to beat their husbands in front of the whole family. Above all, the Maasai communities are highly traumatized and need psychological support. Due to the callous and malicious nature of the evictions, the Maasai communities have remained terrified and fearful of being terrorized by their government.
Madam chair, Furthermore, a young man named Rottiken Nkoididio has been shot in the eye by police forces is currently receiving treatment in hospital. At the same time many pastoralists are harassed and flimsy charges are instituted against them in court. There are also threats to any CSOs and the media when they try to publicize the issues. Even now the government is insisting that all the pastoralists have to be evicted to give room to the investor although they admit that there are no laws to support the eviction of the pastoralists in Loliondo.
Recommendations

1. We recommend that the government of Tanzania be stopped immediately from harassing and evicting pastoralists from their lawful homes and Villages and indigenous pastoralists be given back their ancestral land so that they can continue their livelihood system.
2. We demand Community members be involved in all decisions and all matters affecting their land and lives.
3. The community demands that they be treated fairly and harassment conducted by the government machinery on behalf of OBC should stop immediately
4. The community demands restitution for the loss that has been incurred in the process of the operation
5. Further, there is a strong demand for the government's accountability in all decisions that impact on the livelihood of the people
6. The community needs OBC out of their land and that they should be left alone to determine their destiny
7. We request the commission to make a follow up of this matter as we understand that they have already written a letter to the government of Tanzania on 6th August, 2009 by theAfrica commission's Working Group on Indigenous Population/communities in Africa and that the situation has not chanched on harrassment of the pastoralists in the country.
8. We requets the commision to interven on the country operation in Tanzania that has been directed towards evictions and harrassment of indigenous pastoralists and other indigenous communities
9. We request an urgent vist of the commision to witness and veryfy such eviction and breaches of human right and provide remedies for the pastoralists affected not only in Loliondo but countruwide.
 
Porokwa ndiye aliyekuwa akitafsiri maelezo ya Kimasai.
 
Jambo la kusikitisha ni kwamba Serikali haijatuma mwakilishi, wakati Kamishna aliyemaliza muda wake, Advocate Nyanduga, anatoka Tanzania. Hata ripoti iliyowasilishwa muda mchache uliopita, imehoji ni kwanini Tanzania haijatuma mwakilishi wala haijajibu hoja kuhusu Loliondo ambayo Rais Kikwete aliandikiwa barua mara mbili ya kwanza Agosti 6, 2009 na Oktoba mwaka huu.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/42563-barua-kwa-rais-jakaya-kikwete-kuhusu-loliondo.html

ACHPR Wamesema watamuandikia tena. Na hii ACHPR ni chombo cha AU ambako JK alikuwa akiongoza na kuna mikataba.
 
Porokwa ndiye aliyekuwa akitafsiri maelezo ya Kimasai.


Mimi sioni haja ya kutoa picha na majina ya watu waliotoa habari... I stand to be corrected , but to me mtoa habari ni kama vile anashitaki au anawahumu waliotoa habari... Mimi nidhani ingekuwa inatosha tu kusema chanzo cha habari bila kusema kama niilivyo nukuu hapo juu .....

It is a good story and it shows how serious the issue or matter is, lakini ndugu mtoa habari nadhani ingetosha bila kusema nani na kutoa picha ya waliofanyahivyo... otherwise kwa sura hii inaonyesha sura ya kuwashitaki wahusika
 
Uko sahihi kwa majina. Lakini hakuna tatizo. Kwani hakuna wa kuogopwa na hiyo ni public session na muda si mrefu wanaonyesha video ya matukio ya Loliondo na wanaoonyesha ni Makamishna wa Tume ya AU ya Haki za Binadamu. KWanza hao serikali wameshindwa kufika, wanazidiwa na watendaji wa serikali za Ethiopia, kenya na ZImbabwe wanajitetea hapa. Nadhani kuna kujiamini kupita kiasi.
 
who cares in the Tanzania government? Loliondo tayari imepewa kwa Generali just like Dowans italipwa. Kwani alivyokuja Zayed mdogo hii summer hapo Bongo mliambiwa alikuja kwa ajili gani? Loliondo ilitosha kabisa kumuondoa madarakani Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete. Kama vile Dowans watu wale wale hawaendi kokote na wanaamini kuwa tukipiga kelele basi tutafukuza wawekezaji!

Kwani hao wapambanaji CCM kuna yeyote amesema lolote kuhusu Loliondo zaidi ya uchunguzi sijui ufanyike kama walivyotuma kamati ya Bunge kwenda huko zaidi ya miaka 18 tangu ufisadi wa Loliondo uanze?
 
Mzee Mwanakijiji you correctly said it all ....Halisi Congratulations for your keen follow up on the issue ... I am gald to hear that there is a close follow by the ACHRP . Lakini Mwanakijiji viongozi hawafanani kiutendaji na kifikira na nyakati ni tofauti pia let us see how the situation is going to like this time, I believe kama umesoma hiyo barua alioandikiwa JK na ACHPR chair, in fact some thing good for the community might come out of it . I understand that your wish this time is to expect something different against the government, and there is no reason why it should not but let us wait and see otherwise once again I wish to thank Halisi kwa kutuhabarisha .... You never know !
 
Mimi sioni haja ya kutoa picha na majina ya watu waliotoa habari... I stand to be corrected
Mkuu Kibori, kuna watu hapa wame-specialise kudai sources za kila kinachoandikwa... nadhani hpa hawatakuwa na hoja
 
Tanzania inayokimbia hoja Gambia
ban.sitaki.jpg


Ndimara Tegambwage​

amka2.gif
SITAKI kuamini kwamba Tanzania imesusia mkutano wa 46 wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU) ya Haki za Binadamu unaoendelea mjini Banjul, Gambia – Afrika Magharibi.
Hakuna kibao kinachoonyesha ujumbe wa Tanzania unakaa wapi. Hadi jana, jina la mjumbe kwenye mkutano huu lilikuwa halijaonekana kwenye orodha ya wajumbe kutoka nchi za Afrika. Tanzania iko wapi?
Huu ni mkutano mkubwa unaoleta wajumbe kutoka nchi wanachama wa AU. Hoja kuu ni Haki za Binadamu. Kila nchi ina wawakilishi wa serikali. Vilevile kuna wawakilishi kutoka asasi mbalimbali za kijamii zinazojihusisha na haki za binadamu.
Tanzania iko wapi? Kikao cha Alhamisi kilikuwa na hoja zinazohusu Tanzania. Hoja kuu na ambayo haijapatiwa ufumbuzi ni ile ya wafugaji wa Loliondo na sehemu nyingine nchini. Mara hii aliyeanza kuchokonoa hakuwa Mtanzania. Alikuwa Marianne Wiben Jensen wa Copenhagen, Denmark.
Marianne ni Mratibu wa Mipango wa kundi la kimataifa linalohusu masuala ya jamii za asili (indigenous people) kwa kanda ya Afrika (IWGIA) alivyosema Marianne:
"Hali ya wafugaji wanaohamahama inaendelea kuwa ngumu zaidi katika nchi za Afrika ikiwamo Tanzania ambako wafugaji wametupwa nje ya ardhi walikokuwa wakiishi miaka nendarudi." Baada ya hapo aliorodhesha kinachowasibu wafugaji.
Alisema kitendo cha kuchoma makazi ya Wamasai katika vijiji vinane vya Loliondo; mali zao kuunguzwa na mifugo yao kusambaa na mingine kupotea kabisa, ni cha kuvunja haki za binadamu. Aliorodhesha yafuatayo na kutaka yajibiwe na serikali.
Kwamba zaidi ya makazi 200 ya Wamasai yalichomwa moto; maghala ya chakula chao yaliunguzwa; kwamba zaidi ya watu 3,000 hawana mahali pa kuishi kutokana na ukatili huu na mashamba ya mahindi ambayo yalikuwa na mazao yaliyokomaa yaliunguzwa moto. Mtu wa serikali hayupo. Nani atajibu?
Hayo yametendeka wakati ukame mkali umesababisha njaa kubwa, mito midogo kukauka; madimbwi kuwa mashimo tu yasiyokuwa na tone la maji na kufanya mifugo kukosa malisho na maji; hivyo kufa kwa wingi.
Mratibu wa IWGIA anasema mali ya thamani ya mamilioni ya shilingi imeharibiwa katika zoezi lililohusisha askari wa FFU na walinzi wa kampuni ya Ortello Business Corporation iliyopewa na serikali eneo la Loliondo kwa ajili ya kufanyia uwindaji.
Kwamba askari wa FFU walifanya ukatili kwa wafugaji; kwamba katika zoezi hilo , wanawake walibakwa na wengine waliofukuzwa makazini mwao walitoa mimba wakiwa wanakimbia moto wa risasi za polisi. Mtu wa serikali hayupo. Nani atajibu tuhuma hizi?
Marianne haishii hapo. Anasema familia zimevunjwa na mafundo yake kuteketea kwani baadhi ya watoto wamepotea kutokana na woga wakiwa wanakimbia milio na moto wa risasi. Kwamba matambikio ya Wamasai yalichomwa pia na baadhi yao wamekamatwa na polisi na kutungiwa mashitaka ya kubuni.
Mwanaharakati huyo anasema serikali haijachukua hatua yoyote kusaidia waliokumbwa na maafa hayo; badala yake imewaacha wajihangaikie katikati ya ukame, njaa, ukosefu wa makazi na ukosefu wa malisho kwa ng'ombe waliosalia nao. Hakuna msemaji wa serikali. Nani atajibu haya?
"Tunataka kukumbusha kwamba serikali ya Tanzania, Septemba 2007, iliunga mkono Azimio la Umoja wa Mataifa juu ya haki za watu wa asili…na Tanzania imetia saini mikataba kadhaa ya kimataifa inayolinda haki za binadamu," ameeleza Marianne.
Lakini anasema tendo la serikali kuhamisha wafugaji wa Loliondo, kwa mabavu na a kuharibu makazi yao na chakula chao, ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa. Hakuna msemaji wa serikali. Nani atajibu?
Inawezekana mjumbe hajatoka Dar es Salaam au yuko katika moja ya hoteli za mjini hapa akisubiri siku ziishe. Lakini kwa vyovyote vile, haya ni madai makubwa ambayo yanastahili kujibiwa na serikali.
Juzi Alhamisi, wakati wasilisho hilo likifanywa, watu wengi walikuwa wakitupa macho huku na kule kutafuta kuona msemaji wa serikali ya Tanzania. Kwa kuwa hoja hiyo itaendelea kujitokeza leo na kesho, bado shauku ya kuona msemaji wa Tanzania ingalipo.
Agosti mwaka huu, Tume ya Haki za Binadamu ya AU ilimwandikia Rais Jakaya Kikwete ikimwomba maelezo juu ya hali ya Loliondo – wafugaji kutishiwa, kufukuzwa kwenye makazi yao, kuchomewa nyumba, mazao na mifugo.
Kwa mujibu wa ofisa wa tume hiyo, serikali ya Tanzania haijatoa maelezo yoyote. Haijulikani itatoa lini maelezo hayo. Haijafahamika ni hatua gani zitachukuliwa iwapo haitatoa majibu. Aidha, wafugaji wawili wa Loliondo wako mjini hapa na kwa mujibu wa ofisa wa tume, watakutana na Mwenyekiti wa Tume hii ya AU kesho, Jumatatu.
Yuko wapi mjumbe wa Serikali ya Tanzania kumaliza kiu ya Watanzania walioko hapa pamoja na wajumbe kutoka Afrika nzima ambao wamesikia tuhuma hizi? Labda atafika kesho. Sitaki ashindwe kufika.


http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=10350
 
Hii issue ni very serious..ibaki hapa hapa. Duh! maskini Tanzania..inaelekea wapi hii 21 century??
 
Swala la Loliondo na haki za wafugaji kwa ujumla ni mwiba mbaya sana kwa serikali ya Kikwete. Kwa kifupi kuna wasaidizi wake (wakiwemo mawaziri) wanaona ni vitu vidogo lakini visipopatiwa ufumbuzi legacy nzima ya Kikwete itaishia kule kwa kina Al Bashir na wenzake. Hapa hakuna ubishi. Ukiukwaji WA KUTISHA wa haki za binadamu umefanyika. Serikali iwa wajibishe wahusika kisha iombe radhi na kuwa fidia waathirika tusonge mbele. Kuziba masikio dhidi ya wananchi/wafugaji masikini kiasi cha kuwasingizia kuwa ni raia wa Kenya can not be justified by any sensible government. Tumefikia udikteta mbaya sana Tanzania. Sijui tunaelekea wapi. Mungu atunusuru!
 
Chadema, Dr. Slaa, Zitto, Mkandara, na wengine wote.

Kama hili hamlioni basi kweli TUMELIWA. Kama Mbowe unaliona hili na mmekaa kimya, basi nyie na CUF wote ni MAPACHA ambao kaka yenu ni CCM.

Kwa mawazo yangu ni kuwa hapa mmepewa zawadi ya wazi kabisa. Nendeni huko na mchukue film zote hadi zile walizoweka kwenye YOUTUBE nina uhakika mnaweza kupata copy nzuri. Nendeni kwenye hospital ambazo zimemliza hadi Naomi na chukueni film documental.

Mwakani badala ya kupita na helkopita, nendeni vijijini na Projectors na onyesheni hizi film kwa wananchi. Waambieni kuwa hata watu wa Loliondo mwanzo walikuwa wanaona CCM ndiyo baba yao na milele atawatetea. Hiki ndicho kimewapata na tena wakiwa chini ya mbunge wa CCM.

Nendeni kwenye wachimba madini huko Mara wanaounguzwa na chemicals za wachimba dhahabu na wote hao mtengeneze film. Badala ya kupita na kuwaambia watu, piteni na muonyeshe. Na mwisho piteni na mchukue picha za misarafa ya Vigogo, majuma yao, magari yao na ndugu zaona muwaonyeshe Watanzania jinsi wenzao wanavyoishi wakati wao wanasota. Na muwatakie heri kwa kuiweka tena CCM na Rais wao madarakani.

Inatakiwa itengenezwe film yenye ukweli asilimia 80 na propaganda asilimia 20. Mtu akiona basi atoke machozi. Kama ZAWADI kuzidi hii, basi mtasubiri milele..
 
Mambo haya hapa kama kuna watu wamepika kila kitu na nyie ni kupakua tu na kula:

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=iqP2MRuJ4Ac[/ame]

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=i-FP2gRvziw&feature=related[/ame]

Ningelikuwa Scotland juzijuzi, kulikuwa na haja ya kumpa Mwinyi na Mkewe coffee nyingine ya MOTO ili na wao waone utamu wa kufanyiwa UNYAMA kama huu. Kuna haja siku moja hawa viongozi anakuja kichaa na ANAFILISI mali zao zote (Waliohusika) na kuwatupa kwenye vibanda vya kawaida kabisa na inakuwa wananyang'anywa Pasport.
 
Kwani Loliondo inagusa vipi Tanzania yote? kwani Buzwagi inagusa vipi Tanzania yote? Kwani Meremeta inagusa vipi Tanzania yote? Mwananchi Gold? EPA, CIS, na mengine lukuki? Kwani watu wa Dar wamechukizwa na mlipuko wa mabomu au mlipuko wa kipindu pindu kila mwaka? Kwani Hospitali ya Temeke ambako wajawazito wamekuwa wakijazana kwa miaka sasa huku serikali inampango wa kujenga mabarabara ya kwenda juu kwa juu mmesikia Temeke wamelalamika?

Well.. we get what we deserve, and what we have now is what we deserve!
 
Hili jambo la loliondo lilishawahi kujadiliwa sana hapa JF. Waziri alikanusha kuwa hakuna unyanywasaji uliofanyika na pia watu waliochomewa maboma hawakuwa watanzania, swali ninalojiuliza: ikidhibitika kuwa kulikuwepo na vitendo vya unyanyasaji na waliochomewa maboma walikuwa watanzania,Je waziri atawajibika kivipi kufuta kauli yake ya hawali kuwa hakuna madhara yeyote yaliyo tokea?
 
Mwanamke wa Kimasai Kooya Timan, kutoka Loliondo, ameingia na kutoa ushuhuda Banjul katika mkut ano wa Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika (
African Commission on Human and Peoples’ Rights) Banjul, Gambia. Ameelezea yaliyotokea akisema hata wanawake walibakwa.



Duh nikali hiyo mbona nilipitaga huko Arusha na sikusikia habari hizo na je pale Arusha yawezekana utowaji wa habari umekandamizwa ??? au police haitoi habari ipasavyo ina wabeba watu fulani fulani na kuwafichia mambo yao na kuwanyanyasa wanyonge ??

 
Back
Top Bottom