Djunior
Member
- Sep 28, 2010
- 45
- 1
Wabongo wanalilia mahakama ya kadhi, mbona wanajipalia mkaa kwenye kidonda? Wangapi watapona hapa Bongo. Kwa sababu watu wengi wanapenda tundi na wanafanya kila kukicha. Nampongeza kikwete kukataa hiyo mahakama, lakini kunatetesi wamejipanga tena kumwomba JK aipitishe. Yetu macho.