Mwananke Habiba Bilali wa Temeke alifikishawa mahakama ya kariakoo jana kwa kosa la kuingia ikulu ya Dar bila ruhsa. Alipoulizwa alikiri kuwa anataka kuwa rais mwaka huu na kaongozwa na Mungu kuwa kwanza atembelee maeneo hayo
Mwananke Habiba Bilali wa Temeke alifikishawa mahakama ya kariakoo jana kwa kosa la kuingia ikulu ya Dar bila ruhsa. Alipoulizwa alikiri kuwa anataka kuwa rais mwaka huu na kaongozwa na Mungu kuwa kwanza atembelee maeneo hayo
Asante -shikamoo.Tall
karibu jamvini
Mwananke Habiba Bilali wa Temeke alifikishawa mahakama ya kariakoo jana kwa kosa la kuingia ikulu ya Dar bila ruhsa. Alipoulizwa alikiri kuwa anataka kuwa rais mwaka huu na kaongozwa na Mungu kuwa kwanza atembelee maeneo hayo
Katumwa na yule jamaa toka kanda ya kaskazini(mwenye makengeza) kwani kaona uwezo wa kuwania urais haupo sasa bora amtumie huyo mbeijing kumlaghai mkulu,si mnajua mkulu kwa hao viumbe!
Katumwa na yule jamaa toka kanda ya kaskazini(mwenye makengeza) kwani kaona uwezo wa kuwania urais haupo sasa bora amtumie huyo mbeijing kumlaghai mkulu,si mnajua mkulu kwa hao viumbe!