Hakuna madhara yoyote endapo nyote mtaendelea kuwasiliana na kupeana mapenzi moto moto kama zamani na pia bila kusahau kuzidisha uaminifu katika penzi lenu.
Nina uzoefu wa miaka takribani 15 ktk masuala ya ndoa. Umbali mkubwa kati ya wanandoa in short ni tatizo kubwa. Wapo wachache sana wanaoweza ku-handle hii kitu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.