St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,633
- 4,515
huu unaitwa urafiki wa paka na samaki jamani... Mtambuzi mbona huelewii.....?
Umesema kweli Preta mimi sijui nina ugonjwa gani yaani nikishaona msichana yuko karibu yangu basi hujikuta tu nimeshamtongoza halafu hata nakuwa sijui nilianzaanzaje,sasa haya ya mtu kuwa na rafiki wa kike eti miaka miwili duh,unasubiri nini kumtongoza yaishe..??
Last edited by a moderator: