The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hivi down ndio chini eheeeeraha ya down ni usafi bwana
mtu anavaa underwear za kichina halafu chafu daily mafangasi
naipenda down yangu sana jamani loh
ngoja nitawapa somo siku moja
Hivi down ndio chini eheeeeraha ya down ni usafi bwana
mtu anavaa underwear za kichina halafu chafu daily mafangasi
naipenda down yangu sana jamani loh
ngoja nitawapa somo siku moja
up ,down ,up,down meeeen mwaka mpya wapi? au nije kwako? uoshe choo na jiko lakiniHivi down ndio chini eheeee
Ukija kwangu nakupeleka straight kwenye Jacuzzi mengine baadaye..up ,down ,up,down meeeen mwaka mpya wapi? au nije kwako? uoshe choo na jiko lakini
loh mmmmh dah sijui nije leo?Ukija kwangu nakupeleka straight kwenye Jacuzzi mengine baadaye..
raha ya down ni usafi bwana
mtu anavaa underwear za kichina halafu chafu daily mafangasi
naipenda down yangu sana jamani loh
ngoja nitawapa somo siku moja
ina mwenyewe babuuHiyo down yako ningependa japo kuiona ili nitoe marks vizuri.
raha ya down ni usafi bwana
mtu anavaa underwear za kichina halafu chafu daily mafangasi
naipenda down yangu sana jamani loh
ngoja nitawapa somo siku moja
yaani kuna siku nilienda ofsi moja kubwa tu tena sana vyoo vizuri kabisa nikakutana na boss mmoja mlangoni ndo anatoka kwanza iyo harufu tu kidogo nizimie sijui watu wanakula nini bwana? huku nyuma kumbe kaacha msala balaa weeeeeeee sikuamini jamani lohNafikiri kwa swala la usafi wa choo watanzania wngi wana matatizo, kuanzia watu binafsi hadi taasisi, nenda kwenye maofisi ya uma, utakimbia, nenda pale muhimbili university au UDSM, huko kote licha ya usomi wao vyoo vya kuanzia mabwenini hadi wanavyotumia maprofesa ni kinyaa tupu na hakuna anayejali. Nafikiri tuna ule mtazamo kuwa chooni ni sehemu chafu na hivyo hakuna sababu ya kusafisha kiviiile!
Fahari ya macho haifilisi duka atiina mwenyewe babuu
umenena vema sanaNafikiri kwa swala la usafi wa choo watanzania wngi wana matatizo, kuanzia watu binafsi hadi taasisi, nenda kwenye maofisi ya uma, utakimbia, nenda pale muhimbili university au UDSM, huko kote licha ya usomi wao vyoo vya kuanzia mabwenini hadi wanavyotumia maprofesa ni kinyaa tupu na hakuna anayejali. Nafikiri tuna ule mtazamo kuwa chooni ni sehemu chafu na hivyo hakuna sababu ya kusafisha kiviiile!
bora ulivowaambia mana wengine wangesingizia hawana ela haya ndimu ina garama gani na majivuNdimu ya unga ikuchanganya na majivu, huoni hata doa kwenye sink. Choo cha shimo tumia manjivu na maganda ya limau unaweza kunywa mbege chooni bila bughdha, kisha choo kinakuwa hakijai. siye kwetu tuna choo cha shimo lakini tumeweka choo cha kihindi ukishashusha unamwaga maji kila siku mwenye zamu anakiosha kwa majivu na limao, hakuna shida
u made ma day my dear loh!yaani kuna siku nilienda ofsi moja kubwa tu tena sana vyoo vizuri kabisa nikakutana na boss mmoja mlangoni ndo anatoka kwanza iyo harufu tu kidogo nizimie sijui watu wanakula nini bwana? huku nyuma kumbe kaacha msala balaa weeeeeeee sikuamini jamani loh
yaani maji yapo kila kifaa cha usafi kipo ila mtu akishamaliza haja zake ananyanyuka anaondoka khaa
heri hata wamasai wanachambia rungu
Waaambie mama... kazi kushinda kwenye dressing table tu:lol::lol:
hao ndo usisemeHivi wanaume usafi wao huwa hauwahusu?