AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 640
[h=6]PTUUUUUU hEBU TEMENI MATE KWANZA...
Hivi mwanamke ni kuvaa tu nakupendeza?
yaan kuna mdada maridhawa mrembo tena
mpana mijisifu kibao kuna siku nilikuwa kwake
twapiga story mbili tatu hamadiii kojo likanibana
nikaomba kwenda washingroom jaman jaman jaman
yaaan tena kwa mapana akanambia sikuingizi choo cha public
ingia cha chumban kwangu heee jaman choo kichafu nikajiuliza km hiki anachotumia yeye na mmewe tu kichaf hv je angeniingiza za jumuia c ngezimia?
choo kina mnato wa udhurungi miswaki 8 wakat wako wawili,mi box ya sabun ilokwaisha khaaa jaman naomben tukumbushane hapa NYUMBANI KWETU choo chako ndo TASWIRA YAKO me binafs huwa namjudge m2 kwa usaf wa choo/nyumba kwa ujumla sio lacewig wala CL mwanamke usafi jaman sasa km choo kikiwa kichafu vile unaweza kusex na mpz toilet? c mtateleza? kisa cha kumtia degedege la ukubwan mtoto wa mwanamke mwenzio? sikuhz sabun za choon bei rahis hata kama huna uwezo wa VIM hata jivu lasugua vizur airfresh hata ya asili tu unanyunyiza akaa GOGO walishusha kwa starehe napenda unaenda unakuta choo safi mziigo unateremeka kwa nafas bila woga hadi kausingiz kanakuja sio unajihelp huku umeziba pua haihuuuuuuuuuu
mwanamke usafi jamani NIMEWAKUMBUSHA TU WENZANGU choo ndio msingi wa house jamani katika usafi na pia nyie wakaka ukiona mkeo labda mungu kamjalia uvivu mkumbushie kusafisha choo au ka hataki basi fanya ww kuepuka magonjwa ndani ya nyumba na vinyaa)))))))) njoo kinatakiwa kiwe kisafi mpaka mtu anajihelp huku anaweza hata kunywa beer hukohuko [/h]
Hivi mwanamke ni kuvaa tu nakupendeza?
yaan kuna mdada maridhawa mrembo tena
mpana mijisifu kibao kuna siku nilikuwa kwake
twapiga story mbili tatu hamadiii kojo likanibana
nikaomba kwenda washingroom jaman jaman jaman
yaaan tena kwa mapana akanambia sikuingizi choo cha public
ingia cha chumban kwangu heee jaman choo kichafu nikajiuliza km hiki anachotumia yeye na mmewe tu kichaf hv je angeniingiza za jumuia c ngezimia?
choo kina mnato wa udhurungi miswaki 8 wakat wako wawili,mi box ya sabun ilokwaisha khaaa jaman naomben tukumbushane hapa NYUMBANI KWETU choo chako ndo TASWIRA YAKO me binafs huwa namjudge m2 kwa usaf wa choo/nyumba kwa ujumla sio lacewig wala CL mwanamke usafi jaman sasa km choo kikiwa kichafu vile unaweza kusex na mpz toilet? c mtateleza? kisa cha kumtia degedege la ukubwan mtoto wa mwanamke mwenzio? sikuhz sabun za choon bei rahis hata kama huna uwezo wa VIM hata jivu lasugua vizur airfresh hata ya asili tu unanyunyiza akaa GOGO walishusha kwa starehe napenda unaenda unakuta choo safi mziigo unateremeka kwa nafas bila woga hadi kausingiz kanakuja sio unajihelp huku umeziba pua haihuuuuuuuuuu
mwanamke usafi jamani NIMEWAKUMBUSHA TU WENZANGU choo ndio msingi wa house jamani katika usafi na pia nyie wakaka ukiona mkeo labda mungu kamjalia uvivu mkumbushie kusafisha choo au ka hataki basi fanya ww kuepuka magonjwa ndani ya nyumba na vinyaa)))))))) njoo kinatakiwa kiwe kisafi mpaka mtu anajihelp huku anaweza hata kunywa beer hukohuko [/h]