hahahaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, duh yaan nimecheka mpaka michoz imentoka,
sipati picha mimacho ilivyomtoka na alivyonywea ghafla baada ya kukumbana na uso wako, teh
we piga picha tu. mi mwenyewe ilibidi nicheke.
hahahaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, duh yaan nimecheka mpaka michoz imentoka,
sipati picha mimacho ilivyomtoka na alivyonywea ghafla baada ya kukumbana na uso wako, teh
Nyumbakubwa
chukulia we ni wife wangu
halafu kwa siku nakutana wanawake hata 10
ambao wote 'hawakufikii'
but still nipo na wewe
huoni kuwa hii insecurity ya wanawake haina maana?
yes hawakufii,but siwezi kuwa nao wote
i had to choose,na nimeku choose wewe na kasoro zako....
wengine nitawatazama tu.....get it?
Mara nyingi sana wanaume wamekuwa na hofu kuwa na mahusiano na wanawake wazuri wa umbo na sura na kuishia kuishi na wanawake wa kawaida either kwa kutokuwa na kipato au kutojiamini tu,wengi wa wanaume wamekuwa wakiamini wanawake wazuri wana gharama kubwa kuishi nao na wengi ni wasumbufu hivyo huishi8a kuwatazama tu kwa vile fahari ya macho haifirisi duka.
Hapo ulikuwa na maana ya kinyume chake nini The Boss. Lol.
Insecurity lazima iwepo hata kama mimi ni wifey...ukizingatia tumezungukwa na ulimwengu wa vimada, vibustani, vikishtobe, not to say wawindaji na wawindwaji.
dah ila mie inanikeraga sana huyu mpenzi wa mie ana katabia ambacho nadhani ni extra ya hii mada huwa akimwangalia mwanamke mwenye wezere kubwa utasikia dah huyu dada kabinuka mpaka raha!!!yaan mbele yangu bila haya huaga inaniumaga kinoma noma yaanii! mmezidi bhana wanaume mjirekebishe mnatufanya tupoteze confidence!khaa
WACHA KUTOBOA SIRI ZA JESHI WWWWWW .................YAANI NIMECHEKA KWELIUnajua tunataka kuona kaficha nini hapo juu ya skirt, huwa tunawaza kuna kitu tofauti na cha uliye naye na ukiniachia tu lazima nikachungulie mgodi.....
ss hapo shida ikwapi kwani c tunashangaaaaa uumbaji wa mungu unajua pia inaongeza imani etiHalafu kinachonikera unakuta jianaume linakuangalia kifuani bila hata aibu
usinikumbushe machungu niliwahi kula bonge la kofi pale jangwani sea breeze, dada anatoka beach anaenda pata shower rain nilijisahau kama nipo na mpenzi wangu, nilistukia kofi kali sana mpaka niliona nyota mchana mchana, jirani zangu wakabaki kucheka, ikabidi nivunge kucheka ila niliumia sanaKumwangalia demu mwingine mara nyingi inatokea involuntary...yani wadada haswa wazuri wanakuwa kama wanasumaku vile unajishtukia umekodoa tu mimacho..kama ni demu then ukipita kwa ma-meni alafu wakaushe kama vile ajapita mtu,inabidi ujiulize mara sita sita.