The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
tukiamua kuujaza ulimwengu tuwe na uwezo wa kuuhudumia pia. Sio kuleta mateso kwa watoto.
Tuwe na mpangilio wa mambo yetu
tukiamua kuujaza ulimwengu tuwe na uwezo wa kuuhudumia pia. Sio kuleta mateso kwa watoto.
hehehehe wape ile mistari, mimi biblia yangu imeazimwa na jirani leo.Hata Mungu hapendi
hehehehe wape ile mistari, mimi biblia yangu imeazimwa na jirani leo.
mi huwa sichukulii kuwa natongozwa, huwa naona kama mazungumzo ya kawaida tu. nayaintertain kama yana merit, kama hakuna naachana nayo. kwa kweli kuna wengine huwa hata wanashindwa kuweka kwazi kwa wanataka nini, hao nikiwagundua huwa nawasaidia kuweka wazi halafu tunaendelea na mazungumzo. tusiendekeze madhaifu jamani dada zangu
na ugumu mwanzo mwisho. Ha ha ha!
miguno hiyo hashycool haipendi.
nimependa namna unavyoyapotezea hayo mazungumzo.
Ni vizuri kweli, unamuona mtu yupo seriouse kabisa ila wewe unachukulia utani tu, mwisho wa siku anachoka mnabaki kuwa friends tu.
tuendelee....am watching.....
Hayaa nimemaliza kusoma thread na post zote.
Hii biashara ya Kutongoza/kutongozwa mi sioni ubaya wake, iwepo tu na watongozaji wawe huru kabisa, hakuna kumnyima mtu kutongoza, aidha umenidharau au umeniheshimu, nyie si mmeumbiwa kutongoza bwana.
Uwe mlevi, uwe kichaa, uwe tajiri/maskini, uwe babu, kaka, baba fanya kadiri nafsi yako inavyokutuma.
Ila sasa we si nimekubali uwe na uhuru, unipe na mimi uhuru wa kukujibu lile jibu ninaloona ni sahihi kwako, halafu ulikubali ulifanyie kazi sawasawa.
Kutongoza sio usumbufu, unamsumbua mtu mpaka anatamani kuhama ofisi, mji nk nk. Ni biashara tu ya kuzungumza na kumaliza mara moja. Halafu unalifanyia kazi jibu la mtongozwaji maisha yanaendelea.
Zingatia unayemtongoza ana akili timamu na kile anachokisema anakijua na amepima maelezo yako akaona hilo ndo jibu linakufaa.
Haya malizieni jpili salama.
sijui yupo wapi. Umemmiss eeh?
changia bwana. Hatutaki kuchunguliwa.
Habari yako binafsi banaaa
Ha ha ha keep watching
Habari yako binafsi banaaa
Swahiba wangu yule aisee!!!!