CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
hujaelewa yaani shangingi ni kama lichangudoa sema linakuwa lipo advanced kidogo.so mke hawezi kuwa shangingi
Kwa mumewe sawa....lakinia anweza kuwa shangingi kwa mwanaume mwingine akiwa na ndoa yake vilevile.....au alikuwa shangingi wa huyo mume kabla ya kuolewa