Mwanamke ni Unadhifu sio nguo nzuri tu na mekapu

ni kweli kabisa huyu dada toka alipokuwa mnenguaji na baadae kupanda cheo na kuwa muimbaji hana scandal yoyote.
ukiacha scandal za kipuuzi kama wenzie...hii kazi kwake ni kazi kama zilivyo kazi nyingine,km ni mpenzi wa Twanga utakuwa unajua namaanisha nini
 
Huyo wa mwanzo (kushoto) ni kama ameandaa masaburi akimsubiri jamaa aanze kazi. Ni mtazamo wangu tu.
 
jasho ni kawaida kila mtu kwa jinsi mwili wake ulivyo, lakini kuna kitu watu wengi hawajakiona!

Hebu mcheki huyo demu wa kushoto kabisa kiunoni ni kama shanga zimemzidi hebu angalia vizuri utaona kama moja imeondoka kwenye kundi la wenzake jamani! Uongo?

ndiyo maana kavuta hiyo sketi ili kufikisha ujumbe... Kwani hujui rangi ya mkaa mpaka uulize???????
 
Jasho ni kawaida kila mtu kwa jinsi mwili wake ulivyo, lakini kuna kitu watu wengi hawajakiona! Hebu mcheki huyo demu wa kushoto kabisa kiunoni ni kama shanga zimemzidi hebu angalia vizuri utaona kama moja imeondoka kwenye kundi la wenzake jamani! Uongo?
Mzee wa Rula!!!!!??? Macho hayo? Or .... !
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom