Mwanamke ni lazima apigwe na mume, “lau kidogo”…………..!

Kweli mwanamke lazima apigwe sana sio kidogo kwa fimbo ulio zaliwa nayo.

Hakuna mwanamke asiye penda fimbo ya mwanaume ile orignal :violin:
 
Hapo kwenye RED ndio nataka watu wapatambue, hakuna haki isiyo na wajibu
Ni kweli kbs,
Kwan km binadamu naweza mkwaza labda tu kwa kujua hata nipiga na kumbe siku hiyo nimemfikisha pabaya naye km binadamu anaweza pata hasira na kujikuta anafanya jambo ambalo hakukusudia nikajikuta nadundwa na kuanza kumlaumu kumbe mie ndio sababu,

Cha msingi ni kuwa makin na kauli zetu hata tunapopata hasira ni bora kunyamaza na kuyaongea badae hasira zikipoa na kuwahi kutatua matatizo mapema kabla hayajafikia stage mbaya na kupeana majaribu ya hasira na kudundana au kufukuzana.
 
Cha msingi ni kuwa makin na kauli zetu hata tunapopata hasira ni bora kunyamaza na kuyaongea badae hasira zikipoa na kuwahi kutatua matatizo mapema kabla hayajafikia stage mbaya na kupeana majaribu ya hasira na kudundana au kufukuzana.

Sagacious words!
 
Ni kweli kbs,
Kwan km binadamu naweza mkwaza labda tu kwa kujua hata nipiga na kumbe siku hiyo nimemfikisha pabaya naye km binadamu anaweza pata hasira na kujikuta anafanya jambo ambalo hakukusudia nikajikuta nadundwa na kuanza kumlaumu kumbe mie ndio sababu,

Cha msingi ni kuwa makin na kauli zetu hata tunapopata hasira ni bora kunyamaza na kuyaongea badae hasira zikipoa na kuwahi kutatua matatizo mapema kabla hayajafikia stage mbaya na kupeana majaribu ya hasira na kudundana au kufukuzana.

Here we go girl, waeleze wenzako waelewe maana wao wanakuja na perception moja tu, eti mi sitaki nipigwe, kama hutaki kupigwa usisababishe upigwe.
 
The thing is, some women know how to push your buttons. They will goad you beyond endurance until you do something crazy and then they play victim.

We shouldn't give these type of women a free pass. Sometimes they get what they look for.

And they play victim, the society would convincingly agree. But when the man decides not report the abuse, the same society question his masculinity and identity. Naona huko Ghana have decided to conduct intensive education on this issue.

WHY GHANAIAN WOMEN NOW BEAT THEIR HUSBANDS

This may rather sound ridiculous but it is nothing but stark reality. More and more Ghanaian women now beat their husbands. In year 2011 alone, Two thousand four hundred and seventy four men (2,474) were beaten by their wives last year, according to statistics from the Domestic Violence and Victims Support Unit(DOVVSU) which was released recently. This shows an increase of 62 per cent over the 1,528 cases recorded in 2010.

The women are said to have attacked their partners with harmful implements such as knives,sticks and hot pressing irons over issues like poverty, irresponsibility, alcoholism, drug use, frustration, intimidation, and denial of sex.

Mr. Freeman Tettey, DOVVSU Public Relations Officer (PRO), who spoke on the latest figures said more men are now reporting all forms of abuse by their wives. He said the development was mainly as a result of the intensive educational drive by the unit.

In the past, most men do not have the confidence to come out and report any form of abuses from their partners. Men are now reporting abuses against them because they do not want to take the law into their own hand he explained but added that the women invariably claimed they acted in self-defense.

This latest discovery further buttress how powerful women are in the scheme of things in Ghana. Recall that in the past, it has been reported that the Ghanaian women have the upper hand when it comes to the running of a home and family. The society empowers them more than the men.

WHY GHANAIAN WOMEN NOW BEAT THEIR HUSBANDS - nigeriafilms.com
 
Here we go girl, waeleze wenzako waelewe maana wao wanakuja na perception moja tu, eti mi sitaki nipigwe, kama hutaki kupigwa usisababishe upigwe.

Whatever the case is....you have no damn right to lay a finger on a woman. Ni lazima mtu acontrol hasira zake in whatever situation thats what makes us civilised otherwise hakuna tofauti na wanyama.
 
Whatever the case is....you have no damn right to lay a finger on a woman. Ni lazima mtu acontrol hasira zake in whatever situation thats what makes us civilised otherwise hakuna tofauti na wanyama.

but for you have damn right to abuse man in any way? sio?
 
Whatever the case is....you have no damn right to lay a finger on a woman. Ni lazima mtu acontrol hasira zake in whatever situation thats what makes us civilised otherwise hakuna tofauti na wanyama.

Fine, no one has a right to put their hands on anyone.

But, along the same vein, we all have our breaking points and no one has the right to push anyone beyond what they can put up with.

We all have to curb our emotions.
 
Fine, no one has a right to put their hands on anyone.

But, along the same vein, we all have our breaking points and no one has the right to push anyone beyond what they can put up with.

We all have to curb our emotions.

Hapo pagumu kwa sababu kuna wengine wanakwambia breaking points zao zipo karibu. Yaani umekosea siku ya kwanza tu ukatoa neno moja tu la kuudhi, yeye keshafika breaking point, unachezea kichapo

Kila mtu ajitahidi kwa upande wake
 
Duuh Wanaume wa kitz yaani fikra zenu nyie, kwahiyo kupigwa mwanamke ni sawa kabisa. Kama nikuabuse emetional, then do the same to me or just find other solution.

I can not see or think of any reason ya kupigwa in any relationship
 
Fine, no one has a right to put their hands on anyone.

But, along the same vein, we all have our breaking points and no one has the right to push anyone beyond what they can put up with.

We all have to curb our emotions.

Especially in psychologically, emotionally, or in sexually manner. Should note, unlike women, by nature, men have a sudden loss of self control.
 
hivi wewe mkeo akuambie mbele za mashosti wake nyoooo mwanaume uwe wewe?? usioweza shughuli.....aaah aiseee unategemea nini hapo???? nimpige na kitenge kama msemavyo?

I see hapa usipo react basi wewe utakuwa bushoke lazima atembezewe mkong'oto wa kufa mtu kisha unammwagia maji
 
Here we go girl, waeleze wenzako waelewe maana wao wanakuja na perception moja tu, eti mi sitaki nipigwe, kama hutaki kupigwa usisababishe upigwe.
Km sitaki kupigwa basi nitahakikisha simsababishi mtu anipige,

Sio mume tu hata km ni mtu nisiyemjua ambaye ni mkorofi hawezi kukurupuka na kunipiga tu kwa vile ni mkorofi ni mpaka ni msababishie yeye kunipiga!

Hata km ni baba au kaka japo wote wanajua siko kwenye umri wa kupigwa nimeshakua but nikiwazingua na kuwafikisha pabaya lzm nitachezea kipigo,

Mama yangu alishaniambia mwanaume atabaki kuwa mwanaume na kamwe sitaweza kuwa sawa naye but nina uwezo wa kumfanya awe km mmojawapo wa watoto wangu tena kwa hiari yake kwa matendo yangu.
 
Duuh Wanaume wa kitz yaani fikra zenu nyie, kwahiyo kupigwa mwanamke ni sawa kabisa. Kama nikuabuse emetional, then do the same to me or just find other solution.

I can not see or think of any reason ya kupigwa in any relationship

Hapo kwenye red sio wote wenye fikra hizo. Please don't generalize.
 
Hapo pagumu kwa sababu kuna wengine wanakwambia breaking points zao zipo karibu. Yaani umekosea siku ya kwanza tu ukatoa neno moja tu la kuudhi, yeye keshafika breaking point, unachezea kichapo

Kila mtu ajitahidi kwa upande wake

Kwenye ndoa kuvumiliana ni muhimu sana. Sasa kama mtu ana short fuse namna hiyo basi itabidi ajitahidi sana kuidhibiti na mwenza wake naye inabidi ajitahidi kutokumfikisha hapo.

Ni kufanya tu jitihada za pamoja katika kuhakikisha hamfikishani pabaya.
 
Back
Top Bottom