Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Kipipi,
Hakuna anayevumilia kipigo au manyanyaso kwa sababu eti anapenda au anaridhika..
Ukishaingia kwenye hiyo biashara, ndipo unapongundua kwamba ina complications zake.
Naomba tu niishie hapa ila ukweli ni kwamba biashara ya ndoa ni ya ajabu sana!
Babu DC!!
Nakwambia hivi babu DC, hata kuwe na complications za aje au situations zozote.....kichapo kwangu hapana aisee! Hongera zao wenye kuhandle hali kama hiyo ili kutunza ndoa zao, wao waendelee tu na waitwe wake wema.....mie sitaki kabisa hata kuambukizwa chembechembe za namna hiyo!!