ha ha ha, bora we umepatamo.
Mie nimegundua ni mwoaji.
Uwiiii! Tutashindwa sasa.
Labda msitake wenyewe tu kuolewa, waoaji mbona kibao!.hivi tutaolewa kweli wengine sie......mmmh........
...98%
Hivi wapo kweli
mh hiyo na. 13 unawezajikuta mmepangwa ka nyanya leo anakuja kufua asha, kesho anakujapiga pasi eliza keshokutwa anakujakupika hadija. kha mwenzenu huwa namtaftia house girl wa muda kufanya vyote hvo. cha kujichosha nin mwisho wa cku unajikuta kaolewa anna pamoja na kufanya yote hayo!
Nionavyo mimi mwanamke mwolewaji anasifa zifuatazo. (zingatia: mapenzi hayana formula only use this as a rough guide).
5. Ni msaidizi. Yuko tayari kujitoa hata kifedha kukusaidia. Ni kama anakipato atapenda kuchangia gharama ktk mambo mbalimbali kwa mfano mnapoenda viwanja kuspend
13. Anaweza kuanza ku"assume responsibilities" za mke hata wakati bado hamjaoana (chonde simaanishi tendo la ndoa).Mfano anapokutembelea kwako anaweza kukupikia,kukufulia,kukuchagulia nguo za kuvaa n.k
Kumbe mi mwolewaji?
Ngoja nimfowadie . . . . . .!!
uolewe mara ngapi?...
hivi tutaolewa kweli wengine sie......mmmh........
We profesa. . .kwani kuolewa kunatakiwa kuishie mara ya ngapi?