MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hahahahaha unataka asikojoe sasa.
Wakati wa kumega wewe fikiria UKIMWI tu.
Mh usimdanganye mwenzio akifikiria UKIMWI atalala kabisa na si kutokumwaga
Hahahahaha unataka asikojoe sasa.
Wakati wa kumega wewe fikiria UKIMWI tu.
just before climaxing,switch you thoughts to the legendary taarab singer,BI KIDUDEwadau, style gani inaweza kumsaidia mwanaume asifike kileleni haraka?
mhhh Mwe!!!weka super glue
just before climaxing,switch you thoughts to the legendary taarab singer,BI KIDUDE
eeh ilikuwaje shangazi ulipojaribu?Nashukuru kujua kuna shangazi wa kiume. Najua kazi ya super glue au unafikiri sijui maumbile ya wanaume yakoke na superglue iwekwe wapi? Ya mume wangu nilijaribu
wadau, style gani inaweza kumsaidia mwanaume asifike kileleni haraka?
kwi kwiiiiii kwiii tiiihh ti teheee hee
Utamu wa mavi2z a.k.a Mso ni mapishi, na raha ya utam ni mapishhhhh au sio.....
na mlo ukizidi sana, shurt kuvimbiwaaaaa.....
kwani wataka ligi weye?!!! Au mchubuko.....!!!! Jiache uvinjari starehe...ukiona wakaribia kituoni sinzia upitirize then razma utakuwa na haja ya kurudi to ur orijino destination....
Ila mambo hay ni kujiachia ili kupata pleasure, soma soma pia vijarida vya mav2z vitakusaidia..ingia pia gogle search hitajilo kila kitu kinakuwa detaild.....
Otherwise, tutaftane nikupe mifano asilia...
teh...teh....teeeeee......
Aguido Danda
hahhahahahahhahahaaaaaa Mwe!! weee tena umenimaliza kabthaaaaaaaaajust before climaxing,switch you thoughts to the legendary taarab singer,BI KIDUDE
wakati mpo kwenye shuguli, wewe anza kuzungumzia/kumnongoneza kuhusu ex wako!!
Nimewahi kusikia pia kuwa bangi na whisky zinafanya wanaume wasije haraka!!
sina uhakika na style!!
Fikiria kama unakimbizwa na simba, au unangoja zamu yako kuchoma sindano!!, utajikuta unatwanga tu!.