Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Jamaa kaoa mke mshamba asiyejua uume wala mapenzi. Usiku wa ndoa mke akamuuliza mume, hiki nini? Bwana akajibu yaitwa popoo, jamaa akaongezea ninayo mimi tu hapa duniani.
Siku moja jamaa akasafiri, kurudi mke akamuuliza mbona jirani yetu Noel naye anayo popoo wakati ulisema unayo wewe tu?
Jamaa akajua Noel kishatembea na mkewe, kujibaraguza jamaa akajibu nilikuwa nazo mbili, nikampa Noel moja.
Mke akahamaki na kusema, iweje umpe Noel kubwa, nzuri na tamu ubaki na kipande tu nenda kachukue hiyo umpe yako ...!!!.
Kama hutaki, mie nahamia kwake....!
Siku moja jamaa akasafiri, kurudi mke akamuuliza mbona jirani yetu Noel naye anayo popoo wakati ulisema unayo wewe tu?
Jamaa akajua Noel kishatembea na mkewe, kujibaraguza jamaa akajibu nilikuwa nazo mbili, nikampa Noel moja.
Mke akahamaki na kusema, iweje umpe Noel kubwa, nzuri na tamu ubaki na kipande tu nenda kachukue hiyo umpe yako ...!!!.
Kama hutaki, mie nahamia kwake....!