pole sana, kupumua kwa shida hutokea when the abdomen grows big, pushing the diaphragm up, then kunakuwa na small area for respiration. Moyo kwenda taratibu, kawaida mapigo ya moyo hutakiwa kuwa 60-100/minute. Nakushauri fika hospitali, watapima heart rate, na kusikiliza kifua kama kuna anything inayosababisha kupumua kwa shida.