Mkuu hiyo hali ni kawaida kwa baadhi ya wanawake hasa kwenye first trimester ( kipindi cha miezi 3 ya kwanza ya mimba ) itakwisha au kwa wengine inaendelea kwa kipindi chote cha ujauzito ila anaweza kutumia vidonge vya Nosic kutwa mara 2 kwa siku 5 au vidonge vya Vomidoxin.
Kujisikia kichefuchefu na kutapika wakati wa ujauzito (Morning Sickness)Salaam wakuu,mke wangu ana ujauzito wa mwezi 1,lakini ana matatizo mawili yanayomsumbua sana,kichefuchefu muda wote hujisikia kutapika,mdomo kujaa mate muda wote,je kuna dawa yeyote kuzuia hali hii isiendelee?naomba msaada wa mawazo tafadhali.
Nosic ni dawa nzuri sana kwa kichefuchefu cha ujauzito. Maana kuna kichefuchefu kingine kikikupata unataman hata kulia, kutapika hutapiki ila cha moto unakiona.