wats wrong?
wewe watafuta mtu wa kumtoa mhanga nini?
Kashindwa kutongoza mtaani kwake na hata hapa bado anaona aibu kuweka bango la maana. Mtu mvivu hivi hata akimpata huyo mwanamke atamfanya nini
Jamani domo zege maradhi pia
Domo laweza kuwa zege madam, na keyboard nayo zege?
Ana busha la mikono
Domo laweza kuwa zege madam, na keyboard nayo zege?
Hivi wewe ukutane tu na bango, MWANAUME MIAKA 60 - 100 utapata fikra gani?
Hana nguvu za kiume? anatakiwa awe mshenga? Kapotea? Au uelewe vipi?
Huyu ni Zege Sapiens
jamani kwanini sisi wana jf tunakosa busara? nafikiri tulipaswa kwenda na mtoa mada taratibu.Jamani waweza kukuta ni mjane wa kiume anatafuta mtu wa kumliwaza ama ni divorcee kwanini?
to me sipendi kuwa mnafiki ila kweli busara kwa leo zimetupungukia. hivi kama mngeanza kumtafutia maswali amzuri abayo yangewapeni lead kuwa kwanini anataka mtu wa umri huo.
ndugu ynagu mtoa mada nitakuchek kwenye pm.