Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kama kuna kiongozi mbaya kuliko wote kwenye nchi hii baada ya eva aliemdanganya adam,,mfalme yezebeli basi anaemfwata ni spika anna makinda
kama umemsikia leo huyu mama akikataa hoja ya kujadili kuhusu ma dk aliongea kana kwamba familia yake yote imeandikwa kupelekwa appolo wanapoumwa
mama huyu nilisikia kama kinyaa pale alipoanza kujibu kana kwamba anataka wote wagonjwa wamfwate mama yake alipo si uungwana kabisa we mama kama unajua hili njooo huku hospital muhimbili uone jinsi watu wanvyoteseka na kufaaaaa
samahani kukuita hivi naamini kama eva asingetangulia kumdanganya adamu basi wewew ungekuwa mwanamke mbaya kuliko wote duniani kabla ya eva
kama umemsikia leo huyu mama akikataa hoja ya kujadili kuhusu ma dk aliongea kana kwamba familia yake yote imeandikwa kupelekwa appolo wanapoumwa
mama huyu nilisikia kama kinyaa pale alipoanza kujibu kana kwamba anataka wote wagonjwa wamfwate mama yake alipo si uungwana kabisa we mama kama unajua hili njooo huku hospital muhimbili uone jinsi watu wanvyoteseka na kufaaaaa
samahani kukuita hivi naamini kama eva asingetangulia kumdanganya adamu basi wewew ungekuwa mwanamke mbaya kuliko wote duniani kabla ya eva