teeehtehh..mambo ya optical nutrition haya
Sarafina Mshindo
...Kitu kimetulia. halafu kinaonekana kimekwenda hewani si mchezo. Humu ndio wazee wa makamuzi wanahonga vi-Rav 4 vyekundu!!!Sarafina Mshindo
ahahahahahaaaah du mkuu una hatari wewe...... huwaogopi TAMWA na wale TGNP na..........na bila kumsahau mama Six!Kwamtindo huu naunga mkono dunga dunga iendelee!!