ila kwa maisha ya sasa ni heri kuwa na mafiga matatu au kuwa na kidumu na ndoo.
tatizo la mafiga 3, moja likiondoka sufuria inaanguka.
bora kukaa juu ya figa moja kama unapikia umeme vile.
Hey wanaJF nimefanya utafiti kwa kabila la Wazaramo kwamba msichana yeyote wa kizaramo lazima awe na mafiga matatu inamaanagani?nisaidieni!
Unapikia kwa umeme wa wapi? Wa Bongo? Kama wa Bongo basi chakula hakitaiva.
Kisiive kwani unapika chelema? Huo huo mdogo mdogo, unakaanga chap chap.
Chap Chapa kwani una mkataba na TANESCO? Mafuta yakianza kuchemka tu na kukaribia kuweka muhogo wako ndani ya mafuta basi wanachukua umeme wao (unabaki kulalama na kutukana matusi yote) na kukurudishia umeme wao usiku wa manane wakati uko FOFOFO hahahahahahah
umeniweza kwa sasa, lakini nitarudi tena
BAK 1 Girlie girlie 0 mchezo umekwisha hahahahahaha.
hahahahaha
at least fanya 2-1 (au mimi siwezi kupiga bao?)
nice weekend.....
Kweli Sikuwezi !!!!!
All the best Bubu
I know ila hata kwenye utani sikuwezi..Ni utani tu, don't take life so serious
I know ila hata kwenye utani sikuwezi..
Unamuweza ndo maana mpaka hapo mmeelewana!
Ungejua yaani mpaka hapa mimi hakuna nilichokielewa ni kama wanaongea kichina..
Mmmmh!Mhhh!MHHH!