OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
AshaDii
Kwanza ngoja nikupe mfano mmoja ..Hapa kazini alikuja dada mmoja Kama Senior Manager baadhi sifa zake
1.Kwanza alikuwa mzuri sana..hata mie na-appreciate uumbaji wa mungu niliona kama sifa zote anazo
2.Pili kaenda vidato vya kutosha...
3.Masafa yake yeye leo utasikia kenda kikazi Uk,Kesho Brazil ,kesho kutwa SA..mtondogoo...Nk Nk
4.Pia kwa pesa anayo ya uhakika na ameshajijenga sana .
5.Umri nadhani alikuwa 33-36 yrs alikuwa serious sana.
Akina kaka walikuwa wanaogopa kumu- approach ..ingawa sisi kama wanawake kulikuwa na muda mnakaa nae mnajadili mambo ya kike ...Kwa mtizamo pamoja na kila kitu kuwa nacho
alikuwa so lonely ,very busy ,muda wa kujichanganya na watu mdogo..na alijua kabisa vijana wanamuogopa..
Na mpaka sasa bado yuko single.....
Je hivi hapa hawezi kutumia ile formula ya kama kampenda mtu inabidi aseme yeye badala ya kusubiri kusemeshwa?:wink2:
Nipe contacts zake fastaaaa
OTIS