Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Bora ubaki hapa hapa tutakuokoa akitaka kukumeza.
Huko PM nani atakutetea, you will be swallowed like Jonah for God knows how long.

[/B]
ARE YOU THREATENING A MOD?????? THIS IS TOO MUCH. Alter, ngoja hii conversation niipeleke PM, just between ODM and I. lol
 
My inbox is not richabo.... afu FYI hii avatar yako ya sasa hata ukinigongea Like wala sisisimki.:crazy: Lakini haimaanishi kuwa huruhusiwi kunigongea hako kayuziful batan.

Shhhhh! Leo niko na Mrusi R. Na kikawaida ukiwa na guts za kumtongoza MOD ujue umefikia kikomo cha elimu ya utongozaji. Yaani unaweza kutongoza mke wa Mfalme Mswati bila wasiwasi wowote.

Bora ubaki hapa hapa tutakuokoa akitaka kukumeza.
Huko PM nani atakutetea, you will be swallowed like Jonah for God knows how long.
You two, get your fat ass in the admin office, na mwambieni mnaomba ban, mi nimeshindwa. LMAO
 
Back
Top Bottom