AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Habari wana JF.....
Hopefully it was a lovely weekend na all your Loved ones na wale woote wa karibu wapo salama salimini.
Topic ya leo yahusu pale Mwanamke unapo jiona kua ni Mzuri na ni Mrembo lakini hata siku moja hutongozwi…. Ukiwa na bahati siku hio utaishia kukonyezwa na one of the guys ambae mwapishana popote pale! Lol Lakini cha ajabu rafiki zako woote hadi wale ambao waona kama wawazidi uzuri wanatongozwa na kupata wanaume (Wawe wa maana ama Lah!) ila wewe upo hapo hapo HUTONGOZWI na hasa waishia kujikimu mwenyewe mahitaji ya Mwili. Unaishia tu kulalama…. "JAMANI Tatizo nini?"
Kwa mtazamo wangu hizi zaweza kua baadhi ya sababu ya kutotongozwa…..
Level ya Mwanamke mwenyewe
Katika haya mambo it is good ku face some of the facts kua watu tumepishana levels of statuses katika kua mwanamke umejiweka wa juu saana (Iwe kweli ama uwongo kua wee ni wajuu, kawaida ama chini); Ina chukua nafasi kubwa sana kwa the type of guys ambao watakua drawn na kutaka kukutongoza. That is to say kama muonekano wako uko so expensive; na mahala ambazo waishi, washinda ni mahala guys uwezo wao ni wachini…. Ni kazi saana for guys to be able to approach you.
Attitude ya Mwanamke mwenyewe
Kuna watu wana attitude jamani… Utapenda/Utachukia or Whatever. Wakuta mtu ana attitude ambayo inapelekea kupose negative results kwa muonekano hasa kwa wanaume ambao hukutana nao siku zoote katika mazingira yake yoote ambao unaweza wezesha Kutongozwa. Hio salamu yako ni ya gharama hakuna mfano…. Mtu akikusalimu kujibu ni shida, ama hata wewe tu kumuanza mtu ili umsalim kazi ipo; You don't care…. You don't bother…. And you do not give a damn. On top of that ndio wale ambao ukimuangalia mtu…. Huyo mtu anatamani kioo kiwepo mbele yake ajitazame upya kama there is anything wrong na muonekano wake hadi anajisikia vibaya (hata akiwa na wazo la kukutongoza anaweza ahirisha na kuishia kuuliza "Saa ngapi dada"); Wanawake wa hivi wapo wengi…. Ila kuna wale anafanya exceptions kutabasamu, kuangalia vizuri, kupunguza swagger za attitude (hasa kwa wale ambao anaona ni Level zake kweli… BUT Mhusika hana hizo…. NO exceptions kabisa!
Age ya Mwanamke mwenyewe
Yawezekana Umri umeenda saana….. As much as naamini wanawake wengi ambao ni watu wazima huona saana kazi kukubali ukweli kua sasa ni watu wazima; yawezekana kabisa kua hicho ndio kigezo. Wewe wajiona upo young na watakiwa utongozwe mara kwa mara….. But kwa bahati mbaya wanaume walo kuzunguka Respect you….. Kwa muonekano na assumption zao kua huwezi penda tongozwa.
Marked Territory ya Mwanamke mwenyewe
Kuna wanaume ukitoka nao ni balaa…. Count your self OFF the list ya watu ambao wanatongozwa; Yaani reputation ya jamaa ni balaa… Iwe ni nzuri or mbaya whatever the case ila tu ni wazi kua the guy akiwa na Mwanamke….. No body ever dares kusogea karibu na huyo mwanamke hata kumtania. For habari zikifika mziki wake ni mkubwa; Mara nyingi such a dude ndio wale ambao hata akikuacha…. It takes time people to believe kweli umeachwa. Hii inahusisha pia wanandoa…. Thou sio lazima kua ukiwa umevaa pete ya ndoa ndio hutatongoza…. To other guys hata haijalishi as long as wee as a lady don't mind….
Nafasi ya Mwanamke mwenyewe…
Hapa niko kufikiria Queen Elizabeth wakati yupo young ni nani walikua wana dare kumtongoza….:A S 39: OR Asha Rose Migiro…. Kama kuna wanaume wanamtongoza tongoza…. lol
Wana JF wake kwa waume.... naomba michango yenu iwe kukosoa, Ongeza, Comment, Kukubali ama Kukataliana na Ujumbe ili tuweze fundishana na kueleweshana na kutatua hili tatizo kwa wanawake ambao hatutongozwi...:wink2:
Pamoja Saana.
AshaDii.
Hopefully it was a lovely weekend na all your Loved ones na wale woote wa karibu wapo salama salimini.
Topic ya leo yahusu pale Mwanamke unapo jiona kua ni Mzuri na ni Mrembo lakini hata siku moja hutongozwi…. Ukiwa na bahati siku hio utaishia kukonyezwa na one of the guys ambae mwapishana popote pale! Lol Lakini cha ajabu rafiki zako woote hadi wale ambao waona kama wawazidi uzuri wanatongozwa na kupata wanaume (Wawe wa maana ama Lah!) ila wewe upo hapo hapo HUTONGOZWI na hasa waishia kujikimu mwenyewe mahitaji ya Mwili. Unaishia tu kulalama…. "JAMANI Tatizo nini?"
Kwa mtazamo wangu hizi zaweza kua baadhi ya sababu ya kutotongozwa…..
Level ya Mwanamke mwenyewe
Katika haya mambo it is good ku face some of the facts kua watu tumepishana levels of statuses katika kua mwanamke umejiweka wa juu saana (Iwe kweli ama uwongo kua wee ni wajuu, kawaida ama chini); Ina chukua nafasi kubwa sana kwa the type of guys ambao watakua drawn na kutaka kukutongoza. That is to say kama muonekano wako uko so expensive; na mahala ambazo waishi, washinda ni mahala guys uwezo wao ni wachini…. Ni kazi saana for guys to be able to approach you.
Attitude ya Mwanamke mwenyewe
Kuna watu wana attitude jamani… Utapenda/Utachukia or Whatever. Wakuta mtu ana attitude ambayo inapelekea kupose negative results kwa muonekano hasa kwa wanaume ambao hukutana nao siku zoote katika mazingira yake yoote ambao unaweza wezesha Kutongozwa. Hio salamu yako ni ya gharama hakuna mfano…. Mtu akikusalimu kujibu ni shida, ama hata wewe tu kumuanza mtu ili umsalim kazi ipo; You don't care…. You don't bother…. And you do not give a damn. On top of that ndio wale ambao ukimuangalia mtu…. Huyo mtu anatamani kioo kiwepo mbele yake ajitazame upya kama there is anything wrong na muonekano wake hadi anajisikia vibaya (hata akiwa na wazo la kukutongoza anaweza ahirisha na kuishia kuuliza "Saa ngapi dada"); Wanawake wa hivi wapo wengi…. Ila kuna wale anafanya exceptions kutabasamu, kuangalia vizuri, kupunguza swagger za attitude (hasa kwa wale ambao anaona ni Level zake kweli… BUT Mhusika hana hizo…. NO exceptions kabisa!
Age ya Mwanamke mwenyewe
Yawezekana Umri umeenda saana….. As much as naamini wanawake wengi ambao ni watu wazima huona saana kazi kukubali ukweli kua sasa ni watu wazima; yawezekana kabisa kua hicho ndio kigezo. Wewe wajiona upo young na watakiwa utongozwe mara kwa mara….. But kwa bahati mbaya wanaume walo kuzunguka Respect you….. Kwa muonekano na assumption zao kua huwezi penda tongozwa.
Marked Territory ya Mwanamke mwenyewe
Kuna wanaume ukitoka nao ni balaa…. Count your self OFF the list ya watu ambao wanatongozwa; Yaani reputation ya jamaa ni balaa… Iwe ni nzuri or mbaya whatever the case ila tu ni wazi kua the guy akiwa na Mwanamke….. No body ever dares kusogea karibu na huyo mwanamke hata kumtania. For habari zikifika mziki wake ni mkubwa; Mara nyingi such a dude ndio wale ambao hata akikuacha…. It takes time people to believe kweli umeachwa. Hii inahusisha pia wanandoa…. Thou sio lazima kua ukiwa umevaa pete ya ndoa ndio hutatongoza…. To other guys hata haijalishi as long as wee as a lady don't mind….
Nafasi ya Mwanamke mwenyewe…
Hapa niko kufikiria Queen Elizabeth wakati yupo young ni nani walikua wana dare kumtongoza….:A S 39: OR Asha Rose Migiro…. Kama kuna wanaume wanamtongoza tongoza…. lol
Wana JF wake kwa waume.... naomba michango yenu iwe kukosoa, Ongeza, Comment, Kukubali ama Kukataliana na Ujumbe ili tuweze fundishana na kueleweshana na kutatua hili tatizo kwa wanawake ambao hatutongozwi...:wink2:
Pamoja Saana.
AshaDii.