Phina..............! Wat a suprise aisee!! Mpambanaji, wale jamaa bwana walikuja kutuchomolea kutupa zile pesa, ila wenzetu walipata,except sisi watu 25 special case wale,i thnk umenipata, ila tulifanya follw up, kuna matumaini kidogo kwa mbali.......... Keep ur fingers closed still. Halafu bwana tar 23 kuna dalili zote za kutangaza kamgomo tena, serikali ya JK inatufanya watoto. Aisee unajua huku ni usiku sana, ngoja nilale............ And about your post i have no comment kabisa!!
By the way............... Umefanyia kazi the advice i gave you??wink* wink*..........!
Kwa nini sio vizuri??kuna tofauti gani na ndoto hiyo na ndoto nyingine zozote??that is what i want to find out..kwa nini nikiota nakula chakula ama naufua nguo hakuna tatizo-lakini nikiota nafika kileleni kuna tatizo??help me understand..
Ukiota unakula ni tatizo pia, wanasema watu wa imani. Kuna mtu kafafanua vizuri, kuna ndoto zilizo result ya kunfikiria mtu. Lkn hiyo ya kuDO na strangers na ukawa satisfied hivyo wengi husema huathiri real life hasa kwenye mahusiano.
Sikumbuki kumuota stranger kihivyo, lkn nakumbuka nilishaota ninalishwa mivitu kama ukakasi mweupe back in early 2000 mfululizo. Nilichukulia ni ndoto tu, but later baada ya kujiingiza kwenye imani, nimekuja kubali kuwa l was forced to eat spritually. So uamini usiamini haibadilishi reality yoyote, sana inasaidia tu conscious yako. So if u enjoy n like hizo ndoto, go on enjoy; yaweza kuwa ni ndoto (one reality) yaweza kuwa mapepo (the other reality).
Mi demu wangu aliota huku akimtaja Hamisi eti Hamisi hapo hapo ingiza ingiza hamis nakuja nakuja hamisi dah
Have you ever experienced this in a dream??am not talking about real life..
Kawaida kabisa
Na ukitapa kupata mzuka zaidi wa ndoto niPM nikupe trick yake.
Sasa hivi mtu asipoelewa kitu anakimbilia una pepo, pepo my foot!
Do you believe in God?
Yes, I do.
Ila sasa hivi hata kushindwa kuendelea kwa taifa utasikia bunge lina mapepo.
Mapepo sasa imekuwa dhana inayotumiwa na watu kukimbia reality ama kwa kuona uvivu kutafuta ukweli au kuwa na conflict of interest na ukweli.
no i have never.