Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,923
Mnapotoa hizi kashfa watajen zinaowahusu,achen kujenerolaiz hv kwan kashfa hizi zinawachanganya hadi mama zenu,dada,mashangaz na hata mabint zenu wa kuwazaa!ile hali mnajua wazi sio wanawake wote wako ivo,achen kututukana jumla jumla ebo!