Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
mmmh! binafs nawza kuvumilia kila kitu but not kichapo manake pakifika hapa jamani tunatembezeana. uuuwiiiiiiiiii khaaa eeeh! ndipo litakapo timia lile neno mpalestina.
cheza vyovyote na mimi but usiniguse kwa kipondo lol! vingine vyote navumilia ila hili hapana na nilishalisema kabisaa.
kumbe gfsonwin ni palestina? Kwasha kyeku!