Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Mi nishasoma The Secret na Movie yake pia nikaiangalia. Nikafanya ka experiment kidogo kakawa, but sikuipa much thought afterward. For me i dont know what it is yet lakini naona kama inakinzana na mafundisho yangu ya dini hata kama formula ni ile ile ya kuamini na utapewa. I wonder in my humble kinda way pale tukipata kuijua na kuitumia vyema kutakuwa na limit kweli? Si itakuwa uwanja wa fujo? Na kwa wale wamuaminio Mungu si ni sawa na kumvua Mungu uwezoe maana hapa naona hakuna mpaka au nijiulize na kujijibu kuwa Mungu (The Universe according to The Secret) yupo kwa ajili ya ku serve our every need tu. Msaada Mtambuzi
Thank you
Thank you
Last edited by a moderator: