Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Mimi hapa
hata mimi.
Mimi hapa
hata mimi.
Ivuga hata mi naona nafaa!!!
Lakini kiukweli mke anayefaa ni yule ambaye nafsi yako inamkubali, na kuambatana naye.
ni ku pm?...
ha ha ha! Kupm hadi uombe ruhusa jamani.
ha ha ha! Kupm hadi uombe ruhusa jamani.
usihofu dear, ujue mimi niliorozesha aina za mabinti pale na wewe ukasema kuwa unafaa so nilikuwa nataka kujua upo kundi gani lakini sio kwamba nataka nikuweke ndani coz nafikiri watu washakuwahi long T
kundi langu hujalitaja.
Back to topic: anayefaa ni yule utakaekuwa umeridhika nae na yeye ameridhika na wewe kwa kila kitu.
Watu wengi hawaanzi kufahamiana kazi.
Unaweza ukamzoea mtu hadi ukahisi kumpenda ila kazi yake ukaja kuijua b'dae kabisa.
ok, mwanafunzi. Kundi lako nishalitaja.
anatakiwa pia asiwe maskin.*
maskini wa mawazo eeh?
kwa mungu tena?. Kwa hiyo nisitongoze mwanamke ninayemtaka?
Kamata mwalimu weka ndani
]lakini si ushaolewa weye?..[/SIZE]kwa hiyo wewe upo kundi gani ili mtu hata akitaka atafute kwenye kundi lako.
shule ya msingi au secondary?