Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
mwanamke ambaye jina lake halikufamika alivamia madhabahu huku misa ikiendelea na kuchomoa bastola kwa lengo la kumuua askofu wa jimbo kuu la njombe alfred maluma. Ila mwanamama huyo hakufafanikiwa kwani padri mmoja aliyejulikana kwa jina la ngiri alimrukia kwa haraka na kumpokonya ile bastola, badae ilifahamika kuwa ile bastola ni ya padri mmoja ambaye jina lake hata hivyo halijatajwa na uchunguzi wa polisi unaendelea
source:mwananchi.co.tz