Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
MI napenda wakati napanda kale ka mlima unitukane wow Namaliza safari fastaAtukane wakati wa mechi ndo poa!
MI napenda wakati napanda kale ka mlima unitukane wow Namaliza safari fastaAtukane wakati wa mechi ndo poa!
Kuna kitu kinaitwa FETISH.
Sasa kama mnamshangaa huyu..... Duh....what type of sex lives do you people have!!!
Sanaaaa ndo mana walisema ukistaajabu ya musa..................Aiseee..... kweli tupo tofauti..
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Duh,sasa hiyo kwako ni Asset au Liability?Habari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu
Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.
But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...
(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
Habari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu
Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.
But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...
(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
Vitu vya ajabu ajabu vinavyowapa watu "mzuka"Iyo fetish ipoje
Fetish mtu yuko nayo tu.... Kama ugonjwa... Sio hadi aone...S&M,BDSM na mafetish ya kumwaga,haya makitu bado hayajashamiri bongo kabisa,ila yakianza yatasambaa kama uyoga.