Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Come on Dark City just loosen up a little kwa ndugu zako wa kike. Kwani miwani ya jua nayo inakuwa issue tena wajameni??
Huyo anayevaa usiku naye hayuko sawa kwa kweli.
JS,
Mbona mimi napenda sana wadogo zangu wapate raha na Mungu awapatie waume wema kama mimi?. Ila miwani hiyo nayo ni tatizo.
Kama wewe una tambia njema usihofu kabisa. Ila kama na wewe umeanza kuongelea puani na tena kiswahili cha ki-Spanish basi ujue kazi unayo. Vinginevyo usiwe na shaka! Hata hivyo usithubutu ku-cross boundary eti? Maskini kwa maskini na wenye nazo wao kwa wao, sawa!!:nod::nod: