Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kwa hiyo Fidel huwezi oa kabisa demu ambaye mambo yake yako safi? huwezi kabisa????
Mi huyo siwezi kabisa ni kumega tu ndo naweza lakini sio kutangaza nia
Kwa hiyo Fidel huwezi oa kabisa demu ambaye mambo yake yako safi? huwezi kabisa????
Nipo na uache uchokozi kwa nini umeeka avatar yangu hapo eeee???
Nipo na uache uchokozi kwa nini umeeka avatar yangu hapo eeee???
Ni kweli kabisa baadhi ya kina dada wakiwa mambo saafi manyanyaso yanaanza kwa jamaa
hahaha homeboy bana!! haya utakosa za kuendea Zero Pub!!Mi huyo siwezi kabisa ni kumega tu ndo naweza lakini sio kutangaza nia
Mi huyo siwezi kabisa ni kumega tu ndo naweza lakini sio kutangaza nia
Komredi hata mimi huwa nachinja tu halafu huyo nasepa zangu uswazi....hawa kina JS wana nyodo sana na hela zao hawa
:shut-mouth: sasa na milele!Ukiendelea kuisemasema Roy nitaitoa
Sina hela ila naweza kushare na wewe chochote nilichonacho
hahaha homeboy bana!! haya utakosa za kuendea Zero Pub!!
Komredi hata mimi huwa nachinja tu halafu huyo nasepa zangu uswazi....hawa kina JS wana nyodo sana na hela zao hawa
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.
Wandugu za leo,
Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.
Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
Kweli kabsaa!! unajua hapa wanao tetea hoja ni kwamba wanashindwa kutofautisha..maana kuna yule mnaoa then katika maisha kutokana na hali yeye anapata kipato zaidi na mambo yanamnyookea hapo kwa sasbabu mpo kwenye ndoa nyodo zinapungua!! Ila hawa ambao unaoa kabsaa na kukuta mambo safi asee Nyodo zinazidi sana! Kuna msela wangu ana demu anazo siku iyo bana kaazima mkoko wa demu asee si tukapitia maeneo muda demu akampigia simu dah acha tu!! ilibidi turudishe gari la watu na sisi kuchukua teksi then tukaendelea kupat kilaji chetu kwa raha!! We demu mwenye nazo sio mwenzo asee!!Komredi hata mimi huwa nachinja tu halafu huyo nasepa zangu uswazi....hawa kina JS wana nyodo sana na hela zao hawa
NN unataka kuniharibia tu hapa kwa watangaza nia kama Fidel
Fidel nishakusihi usimsikilize huyu atakukosesha raha bure............na hiyo biashara ya kumega na kusepa itabidi tuifanyie kazi
NN unataka kuniharibia tu hapa kwa watangaza nia kama Fidel
Fidel nishakusihi usimsikilize huyu atakukosesha raha bure............na hiyo biashara ya kumega na kusepa itabidi tuifanyie kazi
Nipo na uache uchokozi kwa nini umeeka avatar yangu hapo eeee???