Sashel
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 212
- 84
Kwa ufahamu wangu mimi watu wengi wanaooa huwa hawamalizii mahari.....ni vyema kufanya uchunguzi wa kutosha kuhusiana na hiyo hali. Huenda ikawa ni mila zao, tamaa au kukukomoa endapo kama mlifunga ndoa pasipo kupendana kwa dhati.
Hata kama wengi wanafanya hivyo, it doesn't make it right! yeye alipe kesi iishe