Mwanamke anataka malipo

infact huyo hujamuoa ila umemuowa!!! endelea kumuowa tu maana ni biashara ati
 
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa
hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi kabla yakulipa au niahidi lini nitalipa.au nitakaa hivyo hivyo mpaka nipate pesa

kwa nini kichwa kinakuuma kama hufurahi khali hii ambayo wewe mwenyewe umejitakia........maamuzi unayo na hutaki kuyafanya sasa watarajia nini?
 
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa
hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi kabla yakulipa au niahidi lini nitalipa.au nitakaa hivyo hivyo mpaka nipate pesa

sasa unacholalamika ni nini,kumbe mmepatana kulipana mshahara na marupurupu juu.....endelea tu kumlipa coz ndio makubaliano yenu. Na sijui mahari ilikuwaje...lol
 
labda tukiiweka in monetary terms inaweza kueleweka vizuri zaidi.. ni kiasi gani anacharge kwa 'mmego' mmoja?
 
Pole sana ndugu yangu. mie kwa sasa sina ushauri juu ya hilo ila Mungu akusaidie upate ufumbuzi katika hilo.
Best wishes
 
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa
hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi kabla yakulipa au niahidi lini nitalipa.au nitakaa hivyo hivyo mpaka nipate pesa

Kakupa limbwata?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom