<br />Money first. Mengine yanafuata...
<br /><br /><br />
<br /><br />
bila money unaweza kupendwa but sometime 2najikweza wenyewe au ujapendwa ww ndio unatumia money ndio upendwe?
<br />mie nilimuuliza GF wangu kwanin alinichagua... akanijibu.."nimependa tu jinsi ulivyo" tena alijibu kwa kiingerza.. akasema.. "i like the way u are".. yaani mimi
Well done Bibie you so relistic .Unamfaa mwanaume mwelewa kama ww.mwanamke anapenda mwanaume ambaye atajisikia secured,mahaba ya dhati, na mwanaume anayejua umuhimu wa mwanamke..... financially stable ni kigezo cha nyongeza coz hapo atakuwa na uhakika zaidi wa kujenga familia bora na uhakika wa mkono kinywani kwa watoto
<br />We are living in a material world. With abundant/ample resourse you find yourself with numerous and unlimited options. As you are all aware life becomes boring when options are limited, so women are right to fall for resourceful partners,whether it be men or their fellow women.
<br />Mwanamke ameumbwa very strong kuliko mwanaume.. tatizo kubwa hajiamini.. Atataka usalama kwa mwanaume kwa njia yeyote ile .. vitu kama hela, maneno matamu, upedeshee etc.. Vyote ni mazao ya kutojiamini!!!
Hata akiwa na kib...Security..which means money..mie mwanaume mwenyepesa turns me on big tym..!frankly speakn!
Hv wanawake huwa wanavutiwa na nn kwa manaume!!! Pesa ama Mapenzi ya kabla ya kuingia kwene ndoa!!!! Nasema hv cuz ukiangalia wengi waume zao wakichuja wanaanza ile..kutafuta wakuhudumia
<br />Nchi inateketea halafu ninyi mnawaza mambo ya kipuuzi kama haya,watu wazima ovyoo.Kwa nini msijikite kwenye mambo yamsigi yatakayo saidia nchi yetu kuondokana na matatizo yake?
<br />Nchi inateketea halafu ninyi mnawaza mambo ya kipuuzi kama haya,watu wazima ovyoo.Kwa nini msijikite kwenye mambo yamsigi yatakayo saidia nchi yetu kuondokana na matatizo yake?
Nchi inateketea halafu ninyi mnawaza mambo ya kipuuzi kama haya,watu wazima ovyoo.Kwa nini msijikite kwenye mambo yamsigi yatakayo saidia nchi yetu kuondokana na matatizo yake?
<br /><br />makamanda lazima mwanaume uwe unapiga mzigo mpaka kileleni.