Mwanamke anahitaji kuliko mwanaume??

Pdidy, nakubaliana nawe katika hili, ila nina angalizo moja kwa wanaume, hasa wa mijini, japokuwa twaweza kuwa tulikuwa na hamu mara mbili ya kina mama hivi sasa nadhani kina mama ndio wako juu, inaweza kuwa yawachukua muda kufikia tamanio la mapenzi lakini tatizo ni kuwa wanafikia mzunguko huo sisi tukiwa bado hatujatamani, mimi yalinikuta haya.

Kabla ya kuoa nilikuwa na kiwango kikubwa sana cha kutamani kufanya mapenzi, si kwa wiki bali kwa siku, ilikuwa hata kama twafungiwa siku nzima na mdada mi ni mwendo mdundo, nikafikili nitampa shida sana mke wangu, baada ya kuoa iliendelea hivyo kama mwaka hivi, waifu akazoea, tatizo lilianza kwenye mwaka wa pili taratibu spidi inapungua mpaka ikafikia kumwona waifu ka mkaka vile, it was terrible, ye alidhani natoka nje ya ndoa wakti si kweli, ilibidi nijitafiti na kutafuta shauri mbalimbali, baadaye ilikuja gundulika kuwa sina tatizo bali nimeadhirika na kitu kinaitwa MARADHI YA MTINDO WA MAISHA, (LIFESTYLE DISEASES)

Lifestyle diseases yanasababisha matatizo mengi kwetu wakaazi wa mijini kuliko mashambani, moja wapo ni kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa na mwenzi wako, nilipogundua kuwa tatizo ni hili niliamua kutafuta ufumbuzi, nashukuru mungu kwani hivi sasa imerejea kama enzi zile, naweza kwenda sambamba ata kama ni kila siku pasi na shaka.

So kina baba tuangalie tusije adhiriwa na Mtindo wa Maisha ili tufurahie ndoa zetu, ikiwa kuna anayehisi kuwa na tatizo hilo anaweza kuni-PM.
 
ahh saaaaaaaaana ne

newton was ma 1st bfrend
the 2nd was napoleon
3rd was marchiavell..makavel yule wa ita
4th was husein kodjo
5th was christopher columbus
6 th was martin luther yule junior na malcom x alikuwa ndo mshenga

7th was roosevelt sema nilimktaa
8 was hitler ahh nikaamua kumpenda mao sant ago nilipooona hitler anagombana sana na mussolin

boby nilimpenda bt akantolea nje..ahh kwanza skupenda kula majan jamaica so nkamwambia nenda nkarendana na RODNEY..YULE MWANAPINDUZI WA JAMAICA B4 ya kumpiga kibut nkurumah

now nimetulia na mandela sna wasi wasi....mara moja moja twaenda msumbij kuimba viva frelimo kwa raha zetu...ehh sema nimemmis wifi mama theressa jaman mweeeee:israel:l
che guavara alinipa mimba akantosa ...:A S-baby:

Umemsahau aliyekufundisha maneno haya: "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU"
 
Umemsahau aliyekufundisha maneno haya: "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU"

hah hah hah! ur bad boy....

infact socrates was ma boy na ndo mme wangu wa kwanza kabla sjamwacha kwenda kwa plato wakat st thomas wa akwino ananisumbua

ahh aristotle bwna alikuwa mlev sana ndo mana skumpenda wakat st augustine nilimpenda cz alikuwa ananipigia sana vtendawili....
 
Hii mada kwa kweli inagusa sana; hivi mwanamme asipochangamkia tenda au akashindwa kuperfrom kwa sababu yoyote, mwanamke si anaweza kujisikia vibaya sana hasa kama imani ni kuwa mwanamme anatakiwa kuchangamkia na anawaka tamaa kwa haraka hivyo?
 
ahh saaaaaaaaana ne

newton was ma 1st bfrend
the 2nd was napoleon
3rd was marchiavell..makavel yule wa ita
4th was husein kodjo
5th was christopher columbus
6 th was martin luther yule junior na malcom x alikuwa ndo mshenga

7th was roosevelt sema nilimktaa
8 was hitler ahh nikaamua kumpenda mao sant ago nilipooona hitler anagombana sana na mussolin

boby nilimpenda bt akantolea nje..ahh kwanza skupenda kula majan jamaica so nkamwambia nenda nkarendana na RODNEY..YULE MWANAPINDUZI WA JAMAICA B4 ya kumpiga kibut nkurumah

now nimetulia na mandela sna wasi wasi....mara moja moja twaenda msumbij kuimba viva frelimo kwa raha zetu...ehh sema nimemmis wifi mama theressa jaman mweeeee:israel:l
che guavara alinipa mimba akantosa ...:A S-baby:

Uko Juu kwa historia! Hongera
 
NEXT MILLIONAIRE nakubaliana na ww siku hizi hali ya maisha (LIFESTYLE DISEASES) ni ngumu na hasa mwanamme akikosa pesa na injini inalala, Ninachoamini na kukitetea ni kuwa hizi posho na hela ya ziada ndizo zinazosababisha kutafuta mashine mpya na za ajabuajabu kama kwenye ulevi, gizani nk
Kutokana na Weekpedia nakubaliana nayo nusu kwa nusu chanzo ni pesa kwa hapa kwetu Bongo, angalia wanaopata mikopo huenda kuongeza nyumba ndogo hapohapo kupunguza stress (au ni kuongeza matatizo ?)
 
Nakubaliana na mtoa mada , matamanio ya sex kwa wanaume yako juu, hii pia inakuzwa na jamii na saikolojia ya malezi/ makuzi ya kiume, inakuwa kama vile heshima ya mwanaume inahusiana zaidi na uwezo wake kitandani, men likes to justify their actions hasa hili la kutokuwa waaminifu
 
'Lifestyle' diseases the world's biggest killer

Non-communicable diseases are now the leading cause of death around the world, with developing countries hit hardest, according to a new report from the World Health Organisation (WHO).
WHO says the rise in "lifestyle" diseases can be blamed on tobacco use, poor diet and the harmful use of alcohol, and warns public policies are needed to prevent them.
Dr Ala Alwan, the organisation's director-general for non-communicable diseases, says lifestyle diseases are responsible for 63 per cent of global deaths based on WHO's estimates for 2008.

Dr Alwan 80 says per cent of deaths due to non-communicable diseases are actually taking place in low and middle-income countries.
He says premature death is an issue of major concern.
"What is of concern is the fact that 9 million of the 36 million people who die every year because of non-communicable diseases die before the age of 60 years," he said.

"Premature death and premature illness, disability at a young age has an impact on socioeconomic development. It reduces productivity. It also reduces household income in addition to the enormous negative, enormously negative health impact of non-communicable diseases."
Dr Alwan says non-communicable diseases include all chronic diseases except for HIV-AIDS, tuberculosis and malaria.
He says the preventative strategies for non-communicable diseases are more or less the same.
"So we are talking about heart disease and strokes. We are talking about diabetes. We are talking about cancers and we are talking about chronic lung diseases," he said.
"Specifically these four groups of diseases share more or less the same risk factors which are: tobacco use, an unhealthy diet, physical inactivity and the harmful use of alcohol."
Dr Alwan says the developing world is currently the hardest hit by non-communicable diseases.
He says it relates to the rising level of income and economic drivers such as urbanisation and globalisation.
"Nine out of every 10 deaths that occur before the age of 60 years are actually occurring in low and middle-income countries and there are factors that are driving this change in the pattern of diseases," he said.
"Planned and very often rapid urbanisation, globalisation of trade and marketing and also the aging of populations ... these drivers are causing an increase in the prevalence of risk factors like tobacco use and [unhealthy] diet, physical inactivity and the harmful use of alcohol, which in turn cause higher rates of high blood pressure, higher rates of diabetes, higher rates of raised cholesterol level."
Dr Alwan agrees with the Federal Government's plan to introduce plain packaging for cigarettes.
He says it could be a good model for other countries to follow.
"I think this is very encouraging what Australia is doing and will hopefully be doing very soon in relation to regulations on tobacco use," he said.
"This is why there is a great deal of emphasis in this report on the need for low and middle-income countries to take concrete action and implement similar intervention if they want to see the rate of non-communicable diseases declining." SOURCE


Bahati njema magonjwa haya yanatibita, na moja ya tiba ni kutumia Natural Health supplements as complementary medicine, na hizi zapatikana hapa Bongo, kwa aina na matumizi kwa yeyote atakayeitaji ani-PM.
 
Back
Top Bottom