Mwanamke aliyepambana na Majambazi azawadiwa na Polisi

KWA NINAVYOIFAHAMU SIRARI, HUYU MAMA HER LIFE IS STILL IN DANGER! MAJAMBAZI YA KULE YANA ROHO YA KISASI.
 
MOJA YA WALIOKAMATWA, SIO ETI 'LILE JAMBAZI'. MJOMBAWANGU! YULE MSIMUITE HIVO!
 
Hii zawadi ilitakiwa itolewe kimya kimya, halafu na polisi wa kawaida mmoja tu. Hapo wamemhatarishia usalama wake na familia yake. Huko vijijini laki tano ni hela ndefu sana. Kuna watu mpaka wanahama duniani bila kuishika.
Alikwambia sirari ni kijiji nani?!
 
Hongera sana mama Ghati. Napapenda sana kwetu Aisee ...Musoma nakupenda. Hapa Dar wanaume wanakimbizwa na Panya Road wenye bisibisi, huko Mara Mama Ghati anaripokonya Jambizi SMG fully loaded....amazing!!!!!
 
Kama ndogo tupange utaratibu tumchangie nasisi maana jukumu la ulinzi ni letu sote.
 
Hii zawadi ilitakiwa itolewe kimya kimya, halafu na polisi wa kawaida mmoja tu. Hapo wamemhatarishia usalama wake na familia yake. Huko vijijini laki tano ni hela ndefu sana. Kuna watu mpaka wanahama duniani bila kuishika.
Mkuu unaijua Sirari?
 
TZ hatupo makini kabisa huyu mmama alitakiwa kupewa ka nishani na kamshiko kazuri
 
Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya yampa zawadi ya Laki tano Bi Sophia Manguye Mkazi wa kata ya Sirari wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa ushujaa wake wa kupambana na Majambazi na kufanikiwa kuwanyang'anya silaha aina ya SMG.

MWANAMKE ALIYEPAMBANA NA MAJAMBAZI AZAWADIWA LAKI TANO.jpg
 
Jamani ningependa kujua alifanyaje mpaka akawapora? Ebu nifafanulie mbona Yule Bibi wa bagamoyo tulielezwa jinsi alivyopambana na majambazi?
 
KWA NINAVYOIFAHAMU SIRARI, HUYU MAMA HER LIFE IS STILL IN DANGER! MAJAMBAZI YA KULE YANA ROHO YA KISASI.
Mkuu tayari majambazi hayo yameisha mfuata yakitaka awape silaha yao na walikuwa wengi kama 20 hivi walizunguka mji wake wakamwambia ahakikishe silaha yao inarudi baada ya kuja kutoa msaada yakaondoka huku yakipiga risasi toka pale mpaka stendi mpya njia panda ya Ng'ereng'ere.
 
View attachment 322784

MWANAMKE ALIYEPAMBANA NA MAJAMBAZI AZAWADIWA LAKI TANO

Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya yampa zawadi ya Laki tano Bi Sophia Manguye Mkazi wa kata ya Sirari wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa ushujaa wake wa kupambana na Majambazi na kufanikiwa kuwanyang'anya silaha aina ya SMG.
Source:East Africa Tv
Niwajuavyo polisi walivyo bahili naona wametoa pesa kubwa, hawa jamaa sio watoaji japo wanapenda sana kupokea sio kutoa.
Hiyo sio zawadi kabisa.
Huyu mama anastahili 5 ml
 
Jamani ningependa kujua alifanyaje mpaka akawapora? Ebu nifafanulie mbona Yule Bibi wa bagamoyo tulielezwa jinsi alivyopambana na majambazi?
Baada ya majambazi kumvamia aliwapa kiasi cha shilingi elfu themanini sasa majambazi yale yakajawa na tamaa wakaingia ndani kutafuta pesa zaidi ndipo akamkaba jambazi mwenye silaha na kipigo juu wale wengine kuona amechukua ile silaha wakakimbilia.
 
Back
Top Bottom