The Inquisitive
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 177
- 29
KWA MFANO: wewe mwanaume umefahamiana na mwanamke mwenye sifa zote unazozitaka za mwili na tabia, naye anakupenda, LAKINI ni mrefu kukuzidi wewe. Unaamuaje?
sasa ikitokea jamaa ni mfupi anasifa zote zingine ndo asimpende demu aliemuona anamfaa kisa kapitwa urefu? Urefu na mioyo ina mahusiano?Hahaha!!! Imenibidi kucheka tu maana ngoja ni-reserve my comments, akikuzidi a few inches sio mbaya lakini sio ile ya hadi utafute stuli au kitu that's inappropriate kwa kweli.
kwa mimi ni ngumu kunitokea, kwani nikishazidiwa urefu huwa siendi mbele na kuhitaj kumfahamu mtu kiundani.KWA MFANO: wewe mwanaume umefahamiana na mwanamke mwenye sifa zote unazozitaka za mwili na tabia, naye anakupenda, LAKINI ni mrefu kukuzidi wewe. Unaamuaje?
Mimi nadhani kua kaelement ka inferiority complex, kwani hata mimi mwenyewe imeshanitokea na sipendi demu mrefu kuliko mimi!
ndenkafu! Vipi nawe umezidiwa urefu nini?Wacha hizo,mbona Prezidaa Sarkozy na hayati Chiluba wamepeta vizuri tu kwenya ndoa zao.
Ufupi si Hoja cha Msingi ni Kujua ABCs za Mahusiano. Mfano Mzuri ni Mimi Dr. Love na Zena, Zena amenizidi kila Kitu, Urefu Amenizidi sana, Urefu amenizidi sana, lakini silaha yangu kubwa najua ABCs za Mahusiano
Nitarudi!
hivi inawezekana eti?hujapenda bado ndugu yangu
kwenda juuUrefu gani?:biggrin1::biggrin1::A S 103: