KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
- Thread starter
- #41
Koku una bahati, sio tuu matamanio yanakuwa makubwa, bali pia kinafanya unapata multiple orgasms na kumalizia na "squirting" ndio maana ule mchezo wa kate..ro ni maarufu zaidi kwa wanawake wa kwenu!. Kama nilivyokueleza hizo topics ni taboo, bibi hawezi kukueleza kitu, the right person ni mama yako, mugambire, atakutera chira chitu!.
Hiyo ya kuvutwa sio Wahaya peke yenu, wanawake wote wa eneo la Interlucustrine iliyokuwa Hima Empire, wanavutwa, hao ni nyinyi, Wahangaza, Wanyarwanda, Baganda, Toro, Ankole na Akamba wa Kenya, lengo lilikuwa kuwafanya wanawake wao kufurahia zaidi ile starehe ndio maana kiukweli, kabila linaloongoza kwa kukolea kwa "game" barani Afrika ni "Baganda women", na kwa Tanzania, nyie ndio mnaoongoza kwa kukolea, japo watu wa Tanga, wanawazidi kwa maujanja tuu!.
Ni kufuatia kufunza mambo hayo tangu wadogo, masuala ya "game" sio issue kubwa sana kwenu ndio maana hamna aibu, yaani hamna haya na kwa Tanzania ndilo kabila la kwanza kuifanya biashara hiyo hadharani! na kiukweli inawalipa!.
Umenimaliza Pasco sina la kusema tena.
Umetoa elimu ya kutosha ambayo sikuijua kabla. Ila sasa multiple orgasim tena i see, si hatari. Mwanaume uaeza tolewa nishai eti, ushachoka bidada bado anataka game.
Na inashangaza ujue, wakati makabila mengine wnakata kupunguza kasi, makabila mengine wanavuta kuongeza speed.