Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Hivi, ukiungua ulimi kwa mbele hupati ladha ya chakula kabisa??
Usipite tu Kongosho toa hoja.
Usipite tu Kongosho toa hoja.
hii mada imenipa kitu kichwani kwani kuna mdada niliwahi kuwa naye, ckujua mpaka nasoma hii post,kile kiharage kilikuwa kama cha mtoto, alomost hakipo, alafu nilikuwa naogelea thou nina...ya uhakika,then alikuwa haoneshi kama na feeliong kivile thou ali wet kama kawa lakini ...alikuwa tu kama ananickilizia nimalize....nadhani naye kakeketwa, sasa nimejua
mdada aliye keketwa ingia hapa utupe uzoefu
Wanasaidiwaje sasa? What is plan B for them?
i think thats an irreversible reaxn haina replay,what to do is elimu kwa walio mbioni kufanya iyo kitu ili wasilogwe coz they will fall on the same mess,why mutilations?
Ni kweli kabisa, lakini pia wanaume wakidate msichana ukakuta amekeketwa jaribu kumvumilia na kua mbunifu kwa vitu ambavyo vitamfikisha na kukufikisha pia. Km alivyosema Kongosho ulimi ukuingua bado ladha utaihisi tu.
Hivi, ukiungua ulimi kwa mbele hupati ladha ya chakula kabisa??
Mie wananikera, halafu ni kama wanarudia rudia hili swala mapangufu yao wanawake huwa tunanyamaza tu hatusemi.
Kwa hali hii, inabidi makabila yanayofanya hivi yapate elimu kuhusu haya maswala na kuacha kabisa na tamaduni hii.
Maana si tu kuzalilisha wakina mama bai pia inafanya wakose vungi na kujiweka ktk hatar ya maambukizi
Koku,
Hii mada ni taboo ila nitakusaidia.
1. Kwa kuanzia, kwanini makabila fulani wanakeketa?, lengo ni kupunguza s drive kwa mwanamke, na makabila yote ya wafugaji na wawindaji walikuwa wanakeketwa kufuatia waume zao kukaa nao mbali mbali na kukutana mwaka hadi mwaka. Kwa mwanamke wa kawaida hawezi kukaa mwaka bila kuhitaji. Mpaka kesho, Wamasai, Wambulu, Warangi, Wagogo, Wabarbaig, na Wanayaturu, wanaendeleza kichini chini, Wachagga wao wameacha, na Wamasai kwao ni jadi mpaka kesho!.
2. Tofauti ya enjoyment na pleasure kati ya waliofanyiwa FGM na wasio fanyiwa, ni time duration tuu ya kufikia climax, hawa wasio fanyiwa, hufika haraka hata kwa "copulation" tuu wengine hufika, lakini hawa wa FGM hufikia climax kwa "deep penile penetration". Hivyo sio kweli kuwa waliofanyiwa FGM hawafiki!.
3. Ila pia kuna makabila, likiweko la kwako Koku, watoto wa kike huwa wanavutwa tangu wadogo, matokeo yake, huwashwa sana kuhitaji huduma hizo, hata mzee akisafiri mwezi tuu, wewe kuvumilia unakuwa huwezi na ndio maana ndio mnaoongoza kwa kugawa!.
4. Huyo dada yeye ni specific case kuna wadada wana tatizo linaloitwa " unsatied sexual appetite" ambao hata umhudumie vipi, hatosheki!. Hili ni tatizo za kibaolojia, anatomical na kisaikolojia, wengine huitwa wana "shetani wa ngono". Huyo dada ni mgojwa na anahitaji msaada wa tiba. Wanawake wengi wa hivi wako kwenye jumuiya zetu na utawatambua tangu vyuoni, maosisini na mitaani, wao hugawa kwa kila mtu!.
5. Viungo vya uzazi, navyo ni viongo kama viungo vingine vyovyote, hivyo vipo vingine vina ulemavu, kwa wanaume unaitwa "importency" na kwa wanawake inaitwa "frigidity", mwanamke wa namna hii, huwa hajisikii chochote, na hata mwanaume unaepita pia hupati chochote, matokeo yake mwanamke huyo huonekana akibadili wanaume kama nguo, kisa kila apitaye, harudi!. Hawa ni watu wa kuwahurumia na sio kuwabeza!.
Kwa wale wenye interest kujua zaidi kuhusu mambo hayo, waitafute ripoti ya Dr. Alfred Kinsey aliyefanya reseach kubwa kwa jamii ya Wamarekani. Kwa wale wenye lengo la technics za kufika na kufikisha, tafuteni kitabu cha "Kama Sutra", au "Love Without Fear" cha Dr. Eutace Chaser!.
Pasco.
TATIZO LENU MOJA, KOKUTONA KESHAZOEA KATERERO, SO ANADHANI BILA CLITOO NO MZUKA! MAPENZI NI SANAA, INABIDI UWE MSANII UWEZE KUUCHEZEA MWILI WA MWENZIO INAVYOPASWA ILI UWEZE KUFIKIA MAXIMUM SATISFACTION. WANAUME WENGI MANENO MENGI AKISHAONA K ILEEE BASI DK TANO TU KESHAMALIZA NA KUMUACHA MWENZI WAKE AKIWA BADO NA NJAA, NA AKISIKIA AU AKIONA DEMU KAKEKETWA BASI UOGA UNAMJAA malalamiko yanaanza, mara ooh hawawi satisfied, hilo nakataa.
Nilikuwa na demu aliyekeketwa, kwa kweli nilitimiza wajibu wangu km msanii, siku ya kwanza tu nikashtuka hee mbona clitoo hanika, lkn sikujali sababu tayari alikuwa keshanivutia na alikuwa demu wa haja, so nikatambaa kt mwili wake vilivyo km nusu saa nzima, mtoto akawa hoi nilipokwenda down there maeneo ya maguu sita hakukuwa na clitoo lkn kuna km kijipele kilibaki pale kidogo sana, nilipokuwa nakipapasa kwa ufundi na mahaba nikahisi mwenzangu miguno inaongezeka, movement zinaongezeka nikajua yaaaaap kumbe bado hisia zipo sehemu sehemu. nilicheza na huo upele km 20 min matokeo yake yalikuwa mazuri hakuna mfano, godoro lililowa. nnachotaka kusema ni kuwa hata km clitoo hakuna kuna kitu inaitwa finger ****ing, waweza tumia vidole ukamfanya mwezio aimbe nyimbo zote za kwao!!! wataka ujuzi? plse PM
Elimu inatakiwa hasa ukizingatia sasa hivi mapenzi hayachagui kabila japokuwa naungana pia na mdau Ubungoubungo kwa baadhi ya maeneo kuhusu utamu ila kwa upande mwingine kwa kizazi cha zamani hizi mila kwao zilikuwa sawa na wao waliziona za kaiwaida japokuwa kwa sasa zimepitwa na wakati hasa ukizingatia watu wanaingia kwenye mahusiano zaidi ya watu kadhaa kabla ya kuolewa au kuoa, kwa zamani mwanamke anamjua mwanaume siku amefunga ndoa na atudumu nae huyohuyo (kwa mtaji huu msichana akiingia kisaikolojia anajua utamu ndio unafanana hivyo kumbe kama asingetahiriwa angepata zaidi)
Koku una bahati, sio tuu matamanio yanakuwa makubwa, bali pia kinafanya unapata multiple orgasms na kumalizia na "squirting" ndio maana ule mchezo wa kate..ro ni maarufu zaidi kwa wanawake wa kwenu!. Kama nilivyokueleza hizo topics ni taboo, bibi hawezi kukueleza kitu, the right person ni mama yako, mugambire, atakutera chira chitu!.Ahsante sana Pasco for the wonderful lesson ambapo leo nimepata mapya pia. Kumbe kikiwa kirefu nayo ni tabu na matamanio ya tndo la ngono yanakuwa makubwa.
I thank God wazaz wangu hawakunivuta na pia umenipa kazi ya kumuuliza bibi yangu anieleze km ana experience hiyo je kwanini wahaya walikuwa wanavuta vidude vya watoto wao.
I got you mkuu.