Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,943
- 156,088
Na ukipenda usipopendwa, balaa lake ........
Utajuta mbona!
Na ukipenda usipopendwa, balaa lake ........
Usiichukulie JF na comments za watu serious kihivyo. Honey Faith atakujibu kama nina vigezo au sina.Una vigezo vya kupendwa? Au unadhani kupendwa ni jambo rahisi tu!
It takes your own strength and values to be loved.
Nimejistukia nacheka kwa sautiNimefurahi sana kusikia limetoka mdomoni kwa mwanamme ineonyesha wazi kama mnatukubali kua wanawake ni wema sana ila ukijifanya unajua
Utajuta kumfahamu.
Mwanamke akikupenda amekupenda kweli, ukimkorofisha tu, tayari anakuwa mnyama!
Kweli kabisa huwa anachukia anakuwa mbogo. nashauri wabembelezeni wake, wachumba, ma girlfriend mtafaidi zaidi, ukimuelewa kwua amekupenda kwa dhati basi funguka kwake utakula mema yote kwa roho safi atakupa bila ya kuzingatia muda na wakati.Mwanamke akikupenda amekupenda kweli, ukimkorofisha tu, tayari anakuwa mnyama!
Mwanamke akikupenda kweli na wewe kama unampenda
hata kama nchi ina vita,we utakuwa kutwa unatabasamu tu lol
Mkuu bandiko lako linanitia hofu how can u prove the fact kwan viumbe hao ni hatariiiii sana kupritend belive meMwanamke akikupenda amekupenda kweli, ukimkorofisha tu, tayari anakuwa mnyama!