tama
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 602
- 71
Mapenzi ni kama limao...ukiweka pale panapostahili linanoga...ukidondoshea kwenye kidonda imekula kwako!!
Umenena vyema sananaa.
Mapenzi ni kama limao...ukiweka pale panapostahili linanoga...ukidondoshea kwenye kidonda imekula kwako!!
Love rollercoaster: Kuna wanawake wengine wakipenda basi wanapenda sana ila ukiamua kuwapenda zaidi ya wanavyokupenda wanakugeuzia kibao na unakuwa msukule wa mapenzi (source: Mbu JF).
Warning: ogopa mwanamke mwenye mapenzi sana, kwani akizuzuliwa na akapenda nje ya ndoa yako basi hapo ndo utajua kwanini kikwete anaitwa rais!
Nimemaliza
<br />
<br />
So nisitegemee kbc kupendwa..kweli mapenzi ni pesa
Ulikua ujui!
<br />Acha kupotoka na kupotosha wenzako...
Lizzy hata kama si pesa ya kuhonga,lakin hata ya kumpigia simu,,,,pesa inatakiwa tuuuu
Acha kupotoka na kupotosha wenzako...
Acha kupotoka na kupotosha wenzako...
Wallet nene na kupendwa inahusu ukitaka mifano Nipm
Mifano sio muhimu kwangu....nasikitika tu kuona mnavyojidanganya!Wengine itabidi hata tuwaogope maana kama unazo ukapendwa kila siku kazi itakua ni kumsimanga mwenzako kwamba kakupendea pesa!
Ngoja nibadilishe kidogo! mapenzi yatashamiri unafuu wa wamaisha ukiwepo!
Jamani ukipendwa raha